Huyu haogopi kupotea?

Huyu haogopi kupotea?

Best home tutor

Senior Member
Joined
May 8, 2026
Posts
194
Reaction score
264
Mchekeshaji Andrew Ngonyani maarufu Braza K, amelikosoa Bunge akilitaja kuongoza kwa utoaji wa taarifa pasipo mpangilio wala utaratibu kuliko bunge zote ambazo amewahi kuzishudia akiomba mabadiliko, zaidi wampe mualiko ili awasilishe hoja hiyo Bungeni.

"Tokea nimeanza kuona Mabunge, hili linaongoza kwa taarifa. Mtu anaongea kidogo 'taarifa mheshimiwa' yaani ni taarifa taarifa mpaka lini jamani? ebu jadilini vitu vya msingi acheni mtu aongee" amesema
 
Kwa akili za kawaida ukimuondoa Brother SHAIBU na yule Madam wa njombe nani mwingine mwenye akili mule ndani!!?

Labda kwa umbaaaaaliii MSUKUMA wengine woote uchafu tuu na ndo uhalisia.
Au wewe na familia yako huwa mnaangalia TBC 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
BUNGE TV

mitano tena kwa Kioo cha jamii amefanya alichotakiwa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom