Husband material kwa sasa mjini ni wanajeshi

Husband material kwa sasa mjini ni wanajeshi

Ukitaka kuingia choo cha kiume kama wewe ni mwanamke nenda kwa mwanajeshi

Kuna singo maza wengi mtaani. .. ukiuliza baba mtoto nani anakwambia mjeshi na fande
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hao jamaa unaowasifia kwanza ni wachafu. Nguo zao madoa tupu [emoji14] [emoji14] bora mimi fundi overall langu rangi moja tu[emoji3][emoji3][emoji3][emoji16][emoji16][emoji16][emoji23][emoji23][emoji377][emoji377][emoji377][emoji124][emoji125][emoji125]
Yan wew huyo ulomkuta ni mgambo sio mwanajeshi they are very smart physically
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hao single mothers walikubali kuwa michepuko dear wanaoa ila wanachepuka sana yan hapo tu ndo balaa linapoanzia,,na wadada wengi mjini sikuhzi wanapenda kuwaganda wanaume akijua pana uhakika wa maisha sasa akija gundua mume wa mtu too late na mimba kashabeba
 
Upo free sana,unajiachia,huogopi mtu wala watu watasema nini,huna aibu za kike,unataka haki zako hata kama inatia aibu,woga na aibu za kike umetupa kule,shaka huna!.....kwa asili ya thread zako you look like a woman of the year!!
Waooooh mwanzo nilipata wakat mgumu watu kuelewa namaanisha nn

Ni ngumu sana kuwasema wanaume kasoro zao lazima wakuponde ipasavyo
 
Hao single mothers walikubali kuwa michepuko dear wanaoa ila wanachepuka sana yan hapo tu ndo balaa linapoanzia,,na wadada wengi mjini sikuhzi wanapenda kuwaganda wanaume akijua pana uhakika wa maisha sasa akija gundua mume wa mtu too late na mimba kashabeba
Kweli kabisa ndo tatizo linalopelekea kutokea kwa single mother
 
Back
Top Bottom