Husband material kwa sasa mjini ni wanajeshi

Husband material kwa sasa mjini ni wanajeshi

Naitwa captain Mazigazi ni junior officer jeshi LA wokovu

Na tafuta mke PM me
 
Elimu ndogo ila wanalipwa parefu sio mchezo


Cc Smart911
Mkuu ukigeneralise kuwa wanajeshi wote ni elimu ndogo UNAKOSEA sana sana achana na fikra zilipendwa nowadays jeshini kuna bachelor's nyingii mno, Masters nyingii mno, kadhalika PhD kadhaa zipo jeshini na vijana wasomi niwengii tu, acha fikra potofu mkuu vyuo kadhaa udsm, Saut, udom, mzumbe, tumaini, open, st John, uclas wasomi hao wapo jeshini mkuu. Amka
 
Mkuu ukigeneralise kuwa wanajeshi wote ni elimu ndogo UNAKOSEA sana sana achana na fikra zilipendwa nowadays jeshini kuna bachelor's nyingii mno, Masters nyingii mno, kadhalika PhD kadhaa zipo jeshini na vijana wasomi niwengii tu, acha fikra potofu mkuu vyuo kadhaa udsm, Saut, udom, mzumbe, tumaini, open, st John, uclas wasomi hao wapo jeshini mkuu. Amka


100% wasom kibao jeshin
 
Sifa za mume haijalishi na kazi. Kama ana fiti vigezo na ana tabia za mume. Basi anafaa kuowa.
Haijalishi ni mwanajeshi au yuko kwenye kaz nyingine
 
Mkuu ukigeneralise kuwa wanajeshi wote ni elimu ndogo UNAKOSEA sana sana achana na fikra zilipendwa nowadays jeshini kuna bachelor's nyingii mno, Masters nyingii mno, kadhalika PhD kadhaa zipo jeshini na vijana wasomi niwengii tu, acha fikra potofu mkuu vyuo kadhaa udsm, Saut, udom, mzumbe, tumaini, open, st John, uclas wasomi hao wapo jeshini mkuu. Amka
Ni kweli wasimo wapo lakini wengi wao ni std seven mbona wengi tunawafahamu wametokea mtaani kwetu
 
Sifa za mume haijalishi na kazi. Kama ana fiti vigezo na ana tabia za mume. Basi anafaa kuowa.
Haijalishi ni mwanajeshi au yuko kwenye kaz nyingine
Sawa hilo lipo wazi ila wanoongoza kwa kuoa na hawabagui wadada huyu kasoma hajasoma ni wanajeshi
 
Mi handsome mpaka wenzangu wananipakaga matope kama Anord unakaribishwa
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
 
Back
Top Bottom