asante Kwakutusifia Dada Ni Kweli Siye Wajeda Tunajua Kupenda Ila Usiombe Ufumaniwe Kama Unamchepuko Wako Ndo Utatujua Tukoje
kichapoHahaaa shughuli ya mjeda pekeyako hutaweza kuimudu mama ni pevu inabidi usaidiwe kidogoWanaume wa jf wanajeshi kama nawaona leo
Ila ukikubali kuwa na mjeda kubali kupangwa list ya wanawake wenzio kutoka dar inafika mpaka moro
Bado hajarudi? Umeolewa?mimi kuna mwanajeshi yupo sudan kila siku video call akirud atanioa tu kwa kweli ila ana sura chachu kama vichochoro vya mwananyamala