Husband material kwa sasa mjini ni wanajeshi

Husband material kwa sasa mjini ni wanajeshi

Sijaoa. Karibu moyoni laaziz. Ntakupenda mpaka utanenepa na kuwa kama sanamu la michelini[emoji23][emoji23]
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Yan na kweli lazima ninenepe wajeda mnapenda kula vizur nyieee
 
Aaaah sio jina langu halisi bana. Jua kuna mtu akiona post zako anafurahia
Umeifanya jion yangu kuwa nzuri
image_search_1520239422647.jpeg

Mwaaah rafiki yangu
 
Wanajeshi wanato.....wa sana aisee...!! Me kuna jamaa etu alikulaa mke wamwanajeshi mpaka bhasiii... Jamaa akiwa kambini mwana anajiliaa tuu sema baadae tulimkatazaa aisee maana ni nomaa...
 
Yaani wanajeshi zile gwanda zao zinanihamasishaga nikiwaona ila wakinisogelea karibu. Napenda kuwadate tu ila sio mambo ya ndoa wala nini maana suala la kuzaa nae mara unasikia anaenda wapi sijui kwenye mission mi roho yangu ndogo naweza kufa. I wish kweli siku nijaribu mwanajeshi
[emoji41][emoji41]

Never date a millitant..!
 
Hawabagui mwanamke wa kuoa ila wanapenda wanawake wenye upendo,heshima,kujali na mwenye kujituma na akili tu ya kukaa na familia maana muda mwingine huwa wanaenda kozi hvyo unabaki na familia pamoja na kusimamia miradi ya maendeleo kama ipo me mwenyewe hata kama umeishia 7 B kama uko vzr nakutia ndani chap
Utani huu me nimeishia la Saba A mkuu
 
Back
Top Bottom