Valentina
R I P
- Oct 12, 2013
- 24,688
- 28,850
Sasa ukiwapata unipasishie namie mmoja shostLeo nimeamua kuwapa sifa zaooo
Sasa ukiwapata unipasishie namie mmoja shostLeo nimeamua kuwapa sifa zaooo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Sasa ukiwapata unipasishie namie mmoja shost
Ivi kale katabia ka mķuu yeyote kutoka MMJKT akija kutembelea kambi anaandaliwa kabinti kazuri kazuri ka kumuudumia mkuu Rest house bado kapo?????Njoo Huku 832 Kj Ujichagulie Binti
Wowowo limeinuka kama centimeter ngapi kutoka usawa wa K? Tuanzie hapo22-24
Namimi nikiwapata takupasishia nawewe mwaya[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nitarekebisha afande!we sio migambo sema mgambo
Hao jamaa unaowasifia kwanza ni wachafu. Nguo zao madoa tupu 😛 😛 bora mimi fundi overall langu rangi moja tu[emoji3][emoji3][emoji3][emoji16][emoji16][emoji16][emoji23][emoji23][emoji377][emoji377][emoji377][emoji124][emoji125][emoji125][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]tuko pamojaaaa
Ivi kale katabia ka mķuu yeyote kutoka MMJKT akija kutembelea kambi anaandaliwa kabinti kazuri kazuri ka kumuudumia mkuu Rest house bado kapo?????
Namimi nikiwapata takupasishia nawewe mwaya
Unapika vyakula vyooote[emoji134]Na mambo ya kwenda kuwa wapishi wa kule officer’s mess, usisahau! [emoji23][emoji23]
Si atarudi baada ya kutoka huko alikoitwa kwa filimbi..Tatizo liko wapi mkuu?Nadhani huwajui hao watu vizuri tuulize tuliopita Depo tutakujuza vizuri. Anyway endelea na mtazamo wako hafifu. Mwanajeshi anaweza kuwa kifuani kwako anakugegeda filimbi au bigwa likipigwa tuu mnaishia hapo tuu.
Wakiona mrembo mzuri yeyote watampata kwa gharama yoyote hutakuwa peke yako
Ulevi ndo jadi yao wanalewa chakari hadi sio vizuri
Umeshapiga mambo yakooo[emoji377][emoji377][emoji377][emoji377][emoji377]Hao jamaa unaowasifia kwanza ni wachafu. Nguo zao madoa tupu [emoji14] [emoji14] bora mimi fundi overall langu rangi moja tu[emoji3][emoji3][emoji3][emoji16][emoji16][emoji16][emoji23][emoji23][emoji377][emoji377][emoji377][emoji124][emoji125][emoji125]
Pambana na hali yako mkuu mm ni flat screen kama za kichina toleo jipyaaa