Shida na raha
JF-Expert Member
- Aug 8, 2014
- 3,773
- 3,474
Na hiyo mitaa ya Ihumwa naona unaenda kujifunza mizinga na wasi wasi na wewe.Wanajeshi wanajua kukunja nguooo mpaka anamzid mwanamke
Na hiyo mitaa ya Ihumwa naona unaenda kujifunza mizinga na wasi wasi na wewe.Wanajeshi wanajua kukunja nguooo mpaka anamzid mwanamke
Kaka angu mjeda mm nimekulia mazingira ya wajedaa kwa sana nilivyokuja kwenye mazingira ya kawaida napo nikafanya utafit ndo nimekuja na jibu wanajeshi wanapenda kuoa hata la Saba B ili mradi uwe na akili za kumlelea familia tuDemiss wewe Mrs mjeda nini maana sio kwa ushuhuda huo mama
Ulikua unaishi nae nyumba za kota kakako ee.Kaka angu mjeda mm nimekulia mazingira ya wajedaa kwa sana nilivyokuja kwenye mazingira ya kawaida napo nikafanya utafit ndo nimekuja na jibu wanajeshi wanapenda kuoa hata la Saba B ili mradi uwe na akili za kumlelea familia tu
Shoga hiliOooh ila awe handsome alafu mweus kama handsome wangu ninayempendagaView attachment 706890
Ahahahh sijambo mdogo wangu unaendeleaje lakini huyo kaka angu hana madhara nitaendaDada nakusalimu unaitwaaa kunduchi
Kwani kuvuta bangi ni matusi mkuu.Mbn matus tena mkuu kuna shida gani
Ahahha nimeshafika[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]View attachment 709398
Nakuona unavyoenda kuchungulia
Kihangaiko we recruit?[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Labda ungesema Kihangaiko au Kule kwa mainjinia Ngerengere
Sawa kabisaaaa huko kunduchi zaman walikuwa wanauza bia 1200 aiseee nimepasau kidogo ila palitaka kunitoa roho na bia zao za kwenye glass kubwaaaAhahahh sijambo mdogo wangu unaendeleaje lakini huyo kaka angu hana madhara nitaenda
Itabidi niende tu hukoSawa kabisaaaa huko kunduchi zaman walikuwa wanauza bia 1200 aiseee nimepasau kidogo ila palitaka kunitoa roho na bia zao za kwenye glass kubwaaa