Husband material kwa sasa mjini ni wanajeshi

Husband material kwa sasa mjini ni wanajeshi

Kuna mjeshi kampangia chumba demu wake mtaani hapa na kila kitu ndani lakini watu wanavyomlia Apple lake huyo jamaa tena ndani kwake humo humo, Yani mpaka mjeshi aje kuoa atakuwa kabakiziwa mbegu za kati nazani!..
Bahati mbaya siwezi mwambia mwenyewe nishaonja apple lake, ila naombea ajitokeze mbea mmoja amfungue akili huyu jamaa!, Lakini namuonea huruma atakayefumwa na ngozi!..
 
Hiyo interest yako tu hakuna anae vutiwa kuolewa na mlinzi kila siku alale peke yake
 
Kazi ya majesh n ngumu ayeeeee co kama polisiii ( pushup kwenye godoro)
Kazi ya majeshi n ngumu ayeeeee co kama polisii ayeeee


Hebu tuimbe hii chenja poti
Ayeee! Wajeshi wengi zero brain ayeee!! [emoji23][emoji23][emoji23] nimekumbuka kwa mujibu, Msange 1
 
Nilitaka kujiunga jeshi miaka ya nyuma mchumba (ndo wife kwa sasa) alikuwa ananibembeleza kweli niachane na hilo wazo kwani aliamini nitakuwa mkorofi na katili.
Ama kweli wanawake mnatofautiana!
 
Usisahau kuwa ukimzingua anakutandika risasi na yeya anajitandika risasi wote kwishney.
 
Ni kweli Demiss ninazeeka vibaya! Ungeweka sura yako hapa tukaona ulivyo mrembo wa kwa mtogole nigejua ninavyozeeka.

Kitendo chako cha kukejeri watu na kuwapachika sura za kufikirika wakati umejificha nyuma ya keyboard na wakati huonyeshi sura yako hapa wala hakinipi shida.

Ni nani aliyekwambia kule kambini kuna kozi ya kuoa? Hizo sura mbaya za wanajeshi zinabandikwa wapi au wao wana uzao tofauti na binadamu wa kawaida?

Je, si kweli kwamba aliandika topic ya kuwadharirisha watu usio na chembe ya upendo kwao kwa kujivika lugha ya mapenzi wakati kila neno lako lililofuata ni kuwaponda!!!??
Kwahiyo unasemaje mkuu mbn umeumia sana
 
Back
Top Bottom