Shida na raha
JF-Expert Member
- Aug 8, 2014
- 3,773
- 3,474
Kaa, uliona wapi gari la Mbagala Kivukoni kujaa.Too late jamani...
Kaa, uliona wapi gari la Mbagala Kivukoni kujaa.Too late jamani...
Wapi nimalizie....Inashangaza .........nn nimeshindwa kumalizia tungo tata
si mbaya walau umewapaisha japo kidogoNingeambiwa sieleweki napenda nn
hhhhhhhhmnapenda miteremko sana kwa hiyo sisi wanaume wa dar sio wanaume au
Hapana aisee, naiogopa sana hiyo kazi, MI nI mwela, wazee WA pushup kwenye godoro hatutaki shida.Najua wewe ni mjedaaa nimekusubir sana hapaaaa
Unasemea suraNakujaaa ila tatizo sura mnatishaaa
Unasemea sura tu? Akienda peacekeeping me?mnapenda miteremko sana kwa hiyo sisi wanaume wa dar sio wanaume au
Njoo Huku 832 Kj Ujichagulie Binti
Kazi ya majesh n ngumu ayeeeee co kama polisiii ( pushup kwenye godoro)Hapana aisee, naiogopa sana hiyo kazi, MI nI mwela, wazee WA pushup kwenye godoro hatutaki shida.
HahahahaView attachment 707036
Unataka kunipa elf 20 mbn bill elf 30