engine rock
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 1,389
- 1,418
Wengine ni mafundi magari,
Haaaaaaaaaa haaaaaaaaaa kwa mshikaji wangu ila pako road sana njoo tukuyu au flamingoNipo Ihunwa tukutane Mbalamwezi mida ya jioni unipe k vant kwa kuwapaisha kias hiki
44 KJ,mkuu upo hiyo mitaa?Njoo fo fo huku mbalizi
Can we try it?Yaani wanajeshi zile gwanda zao zinanihamasishaga nikiwaona ila wakinisogelea karibu. Napenda kuwadate tu ila sio mambo ya ndoa wala nini maana suala la kuzaa nae mara unasikia anaenda wapi sijui kwenye mission mi roho yangu ndogo naweza kufa. I wish kweli siku nijaribu mwanajeshi
mtumie demiss pm poti......hawaamini kama na nyie ni ma hbMnaosema kwamba wana sura ngumu isingekuwa official case ningetuma picha yangu hapa kwa mfano ili muone kuwa ma HB tupo wakutosha

hahaha amekusikia......mwambie akitendee haki sasa sio azingueMwambie anitumie kabisaa alafu nipo hapahapa alipo sijui nimtafute nimle nyamaa

Tembelea 833KJ ukutane na makomando vijana ujichagulie.Seriously speaking mi napenda saana wanajeshi na nataman niolewe nao yani na nlipata rafk m1 wa hyo kada but kuna vtu vlzngua but kama yupo ambae anania kabsa mi napenda sana hao watu kutoka moyoni
Bebe Mbiti!!!binafsi niliwah kuwa na mkaka mjesh!kikosi cha anga!jaman alikua ana adhab mfuu sijapata ona!ana wivu had kwa wazaz wako !nikasema cha kuuliwa mie!
Wee Demiss unariogopa rire riporisi urirorifungia gesti na ndo umeamua kujipendekeza kwa wanajeshi, sasa fanya jitihada fasta kabla harijafunguriwa huko rije rikukamate!Habari wanajamvi?
Ni ukweli usiopingika kuwa wanaume wanaoongoza kwa kuoa kwa sasa ni wanajeshi.(wadada tuko pamoja)
Nasema hivi kwasababu gani?
-Wanajeshi hawachagui huyu mwanamke kasoma au hajasoma ili mradi kampenda.
-Wadada wengi wanavutiwa na yale magwanda yao na ile misifa mfano "yule mke wa mjeshi"
-Wanajeshi wanajali sana wanawake waliooa (wadada tuko pamoja)
-Wanajeshi wapo vizuri kwenye suala la sita kwa sita siyo wachovu kutokana na mazoezi wanayofanya kila siku.
-Katika suala la kusomesha watoto wanajeshi nawapa salute kwa hilo.
-Kwenye suala la maendeleo mfano nyumba na kumiliki gari hawa watu ni hatari hilo sio la kuuliza.
-Wanajua kupenda balaa asikwambie mtu.
-Miili yao ipo imara na wachapakazi sana.
-Hawana nyodo nyingi za kuchagua mwanamke wana maamuzi ikifika muda wa kuoa anaoa.
-Wanapenda sana kuishi na wanawake zao.
View attachment 706815
Nyongeza kutoka kwa Demiss:
Wanajeshi wana sura mbaya jamani huwezi kujua hapa kanuna au katabasamu kazi kweli kweli sura kama maumbo ya watani wangu wa kike wanaoendaga kuhesabiwa. Wanawake zao ndio wanayajua matabasamu ya waume zao.
HAO WANAOA SABABU VINGI WANAPEWA BURE HUJUI KWANN WANOA SANA....WAMESHATENGENEZEWA MAISHAHabari wanajamvi?
Ni ukweli usiopingika kuwa wanaume wanaoongoza kwa kuoa kwa sasa ni wanajeshi.(wadada tuko pamoja)
Nasema hivi kwasababu gani?
-Wanajeshi hawachagui huyu mwanamke kasoma au hajasoma ili mradi kampenda.
-Wadada wengi wanavutiwa na yale magwanda yao na ile misifa mfano "yule mke wa mjeshi"
-Wanajeshi wanajali sana wanawake waliooa (wadada tuko pamoja)
-Wanajeshi wapo vizuri kwenye suala la sita kwa sita siyo wachovu kutokana na mazoezi wanayofanya kila siku.
-Katika suala la kusomesha watoto wanajeshi nawapa salute kwa hilo.
-Kwenye suala la maendeleo mfano nyumba na kumiliki gari hawa watu ni hatari hilo sio la kuuliza.
-Wanajua kupenda balaa asikwambie mtu.
-Miili yao ipo imara na wachapakazi sana.
-Hawana nyodo nyingi za kuchagua mwanamke wana maamuzi ikifika muda wa kuoa anaoa.
-Wanapenda sana kuishi na wanawake zao.
View attachment 706815
Nyongeza kutoka kwa Demiss:
Wanajeshi wana sura mbaya jamani huwezi kujua hapa kanuna au katabasamu kazi kweli kweli sura kama maumbo ya watani wangu wa kike wanaoendaga kuhesabiwa. Wanawake zao ndio wanayajua matabasamu ya waume zao.