Kwani nani kakuambia yeye Sio kilaza?
Kama Mwanzoni alisema sio Mwanachama wa Chama Chochote na leo anakiri Kuwa ni Mwana Wa Magambani Tumweleweje. Ukiwa CCM Sifa Moja lazima Uwe Mwongo, Mtu wa Kusema Usiyoyaamini hata wewe Mwenyewe.
Kijana huyu ameonekana Kuwa Mchambuzi wa Mambo ya Kikatiba kwa weledi Mkubwa leo hii anatwambia kwamba ni GAMBA na Mwana wa Ufisadini, Lo ni ajabu Kweli.
Kilaza kama wewe hamna tofauti kubwa,
Akafirie mbali huko. Bora angeendelea kusema hana chama. Sasa hv namuona kaoza tu kutokana na kuwa ktk bwawa la samaki waliooza. Hii habari imeniharibia siku yangu.
Atajiharibia mara ngapi????acha utoto wewe!Nyie si mlikua mnamuona Mungu wenu kwenye Katiba iweje mnageuka?
Tukipata hamsini kama huyu pole pole nchi ingeamka miaka ishirini iliyopita
Atajiharibia mara ngapi????acha utoto wewe!Nyie si mlikua mnamuona Mungu wenu kwenye Katiba iweje mnageuka?
Tofauti ni kuwa yeye angalau kasoma kidogo kuliko weyeee
Kabla ya kuendelea kujazana upepo hapa ndani ni vema tukapata nambq yqke ya uanachama la sivyo tunazinguana hapa maana anazo kibao huyo kama popo!CCM inq msimamo wake huyu naona ni Yuda Eskariote!
Kuanzia leo amechafuka rasmi
Mwili wake umegeuka tope ghafla nimemwonea hadi huruma njia aliyoichagua
Kwani nani kakuambia yeye Sio kilaza?