Huyu naye amegeuza vyombo vya habari ni jukwaa lake la kisiasa, hana jipya tumemchoka.
Huyu naye amegeuza vyombo vya habari ni jukwaa lake la kisiasa, hana jipya tumemchoka.
uko sahihi mkuu hata mimi nilikuwa namkubali sana na mno ila naona sasa anazidisha sifa na mikogo ktk media. haogopi kurestishwa ini pisi?
Nani kakwambia tumemchoka
Badili channel acha kusemea watu
Huyu naye amegeuza vyombo vya habari ni jukwaa lake la kisiasa, hana jipya tumemchoka.
Watanzania wengi tumemchoka sana na umagamba wake
Umechoka c ukalale chadema mkubwa ww
Unasema watanzania wa mipakana ama!Watanzania wengi tumemchoka sana na umagamba wake
Unasema watanzania wa mipakana ama!
mbona mi sijamchoka.
Nilishangaa sana, wakati wa Bunge la Katiba alisema si mwanachama wa chama chochote cha siasa, ila juzi kasema eti ni mwanachama wa CCM. Hivi Watanzania huu unafiki utaisha lini?
Huyu naye amegeuza vyombo vya habari ni jukwaa lake la kisiasa, hana jipya tumemchoka.
Watanzania wengi tumemchoka sana na umagamba wake