Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 123,250
- 98,243
Mmelazimishwa kumsikiliza au Tv zenu zinashika ch 10 tu mbona vijana mnakuwa wanafiki sana.
Kumbe wanao angalia tv ni vijana tu!!!!, kasalimie kwenu bunda
Mmelazimishwa kumsikiliza au Tv zenu zinashika ch 10 tu mbona vijana mnakuwa wanafiki sana.
Kumbe wanao angalia tv ni vijana tu!!!!, kasalimie kwenu bunda
Huyu naye amegeuza vyombo vya habari ni jukwaa lake la kisiasa, hana jipya tumemchoka.
Mkuu tupo pamoja acha tuendelee kusikiliza hoja & fikira tunduizi za Kijana shupavu sana huyuUnasema watanzania wa mipakana ama!
mbona mi sijamchoka.
Hapana, Kijana anaonekana ku masta kotekote, kinachombeba ni uwezo wake wa kufikiri haraka na kupembua mambo technically, kwakweli sioni akishindwa tuzidi kumfatilia tuAngebakia tu na uarakati wake katika kuiponda katiba pendekezwa. Huku kwenye uchaguzi atapotea kabisa
Mheshimiwa Polepole awachana live Lowasa,Membe,na Mizengo...amesema kwamba,hawa wote wanakigawa chama na wanatumia fedha nyingi sana kuzunguka kutafuta wadhamini.....wengine ndege....mabasi!!!!Polepole anahoji namna ya upatikanaji wa fedha hizo wanazozunguka huko kusaka wadhamini.
Ujumbe umefika.
Kanifurahisha sana aliposema kijana anatakiwa kulitumikia taifa wakati wa ujana wake, kwahivyo hawa watangaza nia vijana mfano; makamba na mwigulu wajiwekee akiba hapo baadae kwa kushika ngazi zingine za kawaida za kiuongozi kwamaana wakipewa hii ya urais watastaafu wakiwa bado vijana wenye nguvu
Hapana, Kijana anaonekana ku masta kotekote, kinachombeba ni uwezo wake wa kufikiri haraka na kupembua mambo technically, kwakweli sioni akishindwa tuzidi kumfatilia tu
EL nje ya CCM ni kama samaki nje ya maji, kwa hiyo atapigana kufa na kupona abakie humo ccm kwa vyovyote iwavyo, kwasababu nje ya hapo huku nje hamna kitu ukiachilia mbali hizo umati za huko nje za kutengeneza. Hatoshi kama ilivyokuwa kwa Mrema miaka ya 90, na kimsingi yeye ndiye anayeihitaji ccm kuliko ccm inavyomhitaji yeye, na nd'o sababu ya utengenezaji matukio hayo kwenye team EL.
Huyu naye amegeuza vyombo vya habari ni jukwaa lake la kisiasa, hana jipya tumemchoka.
Angebakia tu na uarakati wake katika kuiponda katiba pendekezwa. Huku kwenye uchaguzi atapotea kabisa
uko sahihi mkuu hata mimi nilikuwa namkubali sana na mno ila naona sasa anazidisha sifa na mikogo ktk media. haogopi kurestishwa ini pisi?
Tatizo anasema kweli tupu ndo maana mnachukia especialy magamba mpaka yanahisi jamaa ni ukawa