Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 123,250
- 98,243
Nasikia analitaka jimbo la Ubungo kwa tiketi ya Ukawa
Ushabugia tumbaku tayari? Tangu lini ukawa na magamba?
Nasikia analitaka jimbo la Ubungo kwa tiketi ya Ukawa
Naona kasema Mwigulu na January bado vijana sana hawana uzoefu wa kutosha serikalini hivyo wanahitaji zaidi uzoefu wa kiuongozi kabla ya kufikia URais. katoa mifan ya viongozi vojana kama yule wa Madagascar, Burundi etc wanavyosumbua.
Makongoro Charles.Sasa yeye anamtaka nani? Au anamtaka wasira?
Akafirie mbali huko. Bora angeendelea kusema hana chama. Sasa hv namuona kaoza tu kutokana na kuwa ktk bwawa la samaki waliooza. Hii habari imeniharibia siku yangu.
Kama Mwanzoni alisema sio Mwanachama wa Chama Chochote na leo anakiri Kuwa ni Mwana Wa Magambani Tumweleweje. Ukiwa CCM Sifa Moja lazima Uwe Mwongo, Mtu wa Kusema Usiyoyaamini hata wewe Mwenyewe.
Kijana huyu ameonekana Kuwa Mchambuzi wa Mambo ya Kikatiba kwa weledi Mkubwa leo hii anatwambia kwamba ni GAMBA na Mwana wa Ufisadini, Lo ni ajabu Kweli.
Makongoro Charles.
Unatafuta balaa wewe!!Ajitahidi ampitishe angalau kwenye 5 bora,ndio ajipange kumenyana na kimbunga cha ukawa.
Tueleze mkuuKati ya wapuuzi, wabadhirifu vijana ninaowajua Tz Polepole ni mmoja wao. Atawadanganya wasiomjua
Changa la macho
Nakuunga mkono huyu jamaa ni noma ni UKAWA damuPolepole Yupo Kwenye Oparesheni Maalumu, Jamaa Ni Jiniazi Sana. Ni Ukawa Pyua Ila Anaharibu Upande Wa Pili Bila Wao Kujijua. Kwanini Awashambulie Membe Na Lowasa?p
Tutaona Mengi Mwaka Huu, Lakini Werevu Tu Watatambua Haya.
Asante kwa kutujuza, ngoja nimuangalie maana namkubali sana huyu mtu.
amesema membe na lowasa wapigwe chini kunusuru chama ii iko sawaNdio anaanza sasa ngoja tuone uchambuzi wake
hii ndio sababu zilizotulazimu kufuta walimu wa UPE , ni weupe sana !mwalimu wa siasa na mshauri mkubwa wa zitto kabwe mwalimu kaijage amemuuliza pole pole swali dhaifu sana
kaijage anamuuliza pole pole eti lowasa anapata wapi watu huyu vipi?
Sasa yeye anamtaka nani? Au anamtaka wasira?