BungelaKatiba2014tz
JF-Expert Member
- Feb 18, 2014
- 1,231
- 649
Nimempenda pale aliposema kwa maslahi ya CCM Lowassa na Membe wawekwe pembenipole pole live chanel ten anaongea mambo ya watangaza nia na mambo ya mitandao ya makundi ndani ya chama
Nimempenda pale aliposema kwa maslahi ya CCM Lowassa na Membe wawekwe pembenipole pole live chanel ten anaongea mambo ya watangaza nia na mambo ya mitandao ya makundi ndani ya chama
Baada ya kuficha hisia zake kwa muda mrefu,Hatimae polepole aweka wazi yeye ni mwanachama wa CCM yupo chanel ten tumfuatilie kada huyu
Amesema yeye anaammini kwenye misingi ya uanzishwaji wa chama hicho mwaka 1977
Ikumbukwe muda wote wa bunge la katiba kijana huyu alishasema mara nyingi kuwa yeye sio mwanachama wa chama chochote cha siasa hapa nchini
mwishowe naye atakuja kuwa kilaza
njaa imembana anatafuta kula
mwishowe naye atakuja kuwa kilaza
Km ni kweli hovyo kabisa
Weka namba ya uanachama wake hapa!
Pole pole kuendelea kuwa mwanachama wa ccm anajishushia hadhi yake kabisa.
Jana nilimsikia live akisema yeye ni ccm
Huyu kijana amedadavua vizuri ccm iyafanyie kazi maoni yake.
Kwani nani kakuambia yeye Sio kilaza?
Keshajiharibia heshima yake mbele ya jamii ya watu wasafi.