kmbwembwe
JF-Expert Member
- Aug 16, 2012
- 10,422
- 7,211
Hivi kuna Mtanzania mzalendo kama Humphrey Polepole?
Huyu jamaa ni mzalendo kweli wa nchi yake japo ni chama cha mapinduzi lakini ni mzalendo
Hawa ni aina ya CCM ya kina Nyerere yaani wale wanaccm wenye uzalendo na utaifa na walobaki nchini
Kiukweli I declare interest kwamba namkubali Polepole sana
Hii nchi inahitaji kina Polepole kama 50 hivi
Huyu alitakiwa awe Waziri kabisa au mshauri wa Rais
Kwa hizi hoja kuna wa kumpinga huyu Jamaa? Anzia dk ya 14 hapo l's ?
Namheshimu kwa kuhifadhi msimamo. Sio wengine waliyobadilika kama vinyonga. Mwanzo tu pale kuona sabaya akitemwa wakashikwa na ganzi na kumtafsiri mama kwa kubahatisha au kwa uhakika. Wengine wakaanza kuomba msamaha etc mradi wasije fukuzwa mezani kula. Polepole anakeep on fighting kwa ideas za kutukuka na kubeba juu bendera ya ccm ya siasa ya ujamaa na kujitegemea bila hofu.