Mfikirishi
JF-Expert Member
- Jan 16, 2012
- 7,495
- 8,538
Yaani umejibu na umemaliza kabisa yaaniBando ni lake.
Yaani umejibu na umemaliza kabisa yaaniBando ni lake.
Huyo ni mtu mzima. Wala hakuna anaemtuma. Ni yeye mwenyewe kaamua.Madame; ni kweli haki zote anazo. Lakini ndo tusitake kujua washirika wake na timing yake??
Yes au ndioSasa ndo umejibu swali??
Basi fundisha darasa la usalitiNdiyo anafundisha vizuri sana... Lakini kwa nini sasa? Na anashirikiana na akina nani? Mbona alipokuwa kwenye enzi halitenda kinyume?
Kuna watu wengi anatupanua ufaahamu wetu kuhusu uongoziHuo muda anaopoteza bora angeenda kuungama dhambi zake kanisani.
Duh, Sasa ikiwa kila anafanya Jambo tumfuatilie, itakuwa tabu Sana!Madame; ni kweli haki zote anazo. Lakini ndo tusitake kujua washirika wake na timing yake??
Hio kazi wanafanya maafisa usalama wa Taifa. Wewe msikilize au achana nayeHuyo Humprey Pole Pole kwa sasa amekuwa Mwalimu mzuri sana wa masuala ya uongozi. Je anatumwa na nani! Akina nani wapo nyuma yake??
Nimepitia bandiko lake nikabaini anatumia alama za Bunge na ccm... Je, wao ndo wanamtuma aseme anayosema??View attachment 1942081
Ana Uhuru wa kuamuaUngemwambia elimu hiyo angeitoa kipindi cha awamu ya 5 ?
Kapona labda huwezi juaHuyo Humprey Pole Pole kwa sasa amekuwa Mwalimu mzuri sana wa masuala ya uongozi. Je anatumwa na nani! Akina nani wapo nyuma yake??
Nimepitia bandiko lake nikabaini anatumia alama za Bunge na ccm... Je, wao ndo wanamtuma aseme anayosema??View attachment 1942081
Dah...ualimu ni wito mkuu🤣🤣🤣🤭Huyo Humprey Pole Pole kwa sasa amekuwa Mwalimu mzuri sana wa masuala ya uongozi. Je anatumwa na nani! Akina nani wapo nyuma yake??
Nimepitia bandiko lake nikabaini anatumia alama za Bunge na ccm... Je, wao ndo wanamtuma aseme anayosema??View attachment 1942081
Kwa sababu ameona muda huu wanafunzi wake watamuelewa kwa ufasaha,Ndiyo anafundisha vizuri sana... Lakini kwa nini sasa? Na anashirikiana na akina nani? Mbona alipokuwa kwenye enzi halitenda kinyume?
Mkuu kanuni za uongozi, Kama unaizijua, miongoni mwa hzo Ni kutokumkosoa au kwenda kinyume na Boss wako, ila inaruhusiwa kumkosoa binafsi,POLEPOLE ASIBEZWE YUPO SAHIHI LABDA TU TUMUULIZE ALIKUWA WAPI? JIBU NI RAHISI ALIKUWA A ATETEA UGALI WAKE AMBAO HATA WEWE UNGETETEA HIVYO ASIBEZWE
Sent from my SM-J600F using JamiiForums mobile app
Mnafiki tu.Kuna watu wengi anatupanua ufaahamu wetu kuhusu uongozi
Hio nayo ni moja ya kutubu dhambi
Jina lake lilirindima kuwa alihusika kununua watu waliokuwa na mawazo ya tofauti!Kwa sababu ameona muda huu wanafunzi wake watamuelewa kwa ufasaha,
Suala la kufundisha linahitaji ushirikiano baina ya mwalimu na wanafunzi,
Taja mfano wa mafundisho yake yanayokinzana na alichokua anakisimamia kwenye enzi
Kwa nini sasa hivi wenye mawazo tofauti na yake wasimnunue ili awapunguzie kelele ama kuwa na mtazamo tofauti ni jambo baya?Jina lake lilirindima kuwa alihusika kununua watu waliokuwa na mawazo ya tofauti!
Aliwajibu ovyo walioenda kinyume na matarajio yao... unakumbuka sakata la wale wazee na wapiga kampeni timu ya Mama?
Hakuongea wala kufundisha anavyojitahidi kufanya sasa...
LolHivi kuna Mtanzania mzalendo kama Humphrey Polepole?
Huyu jamaa ni mzalendo kweli wa nchi yake japo ni chama cha mapinduzi lakini ni mzalendo
Hawa ni aina ya CCM ya kina Nyerere yaani wale wanaccm wenye uzalendo na utaifa na walobaki nchini
Kiukweli I declare interest kwamba namkubali Polepole sana
Hii nchi inahitaji kina Polepole kama 50 hivi
Huyu alitakiwa awe Waziri kabisa au mshauri wa Rais
Kwa hizi hoja kuna wa kumpinga huyu Jamaa? Anzia dk ya 14 hapol's ?
Hivi kuna Mtanzania mzalendo kama Humphrey Polepole?
Huyu jamaa ni mzalendo kweli wa nchi yake japo ni chama cha mapinduzi lakini ni mzalendo
Hawa ni aina ya CCM ya kina Nyerere yaani wale wanaccm wenye uzalendo na utaifa na walobaki nchini
Kiukweli I declare interest kwamba namkubali Polepole sana
Hii nchi inahitaji kina Polepole kama 50 hivi
Huyu alitakiwa awe Waziri kabisa au mshauri wa Rais
Kwa hizi hoja kuna wa kumpinga huyu Jamaa? Anzia dk ya 14 hapo l's ?
Yule wa manunuzi ya binadamuPole pole yupi?? Yule wa tume ya jaji Warioba au huyu aliyefurushwa juzi huko lumumba??
Hivi kuna Mtanzania mzalendo kama Humphrey Polepole?
Huyu jamaa ni mzalendo kweli wa nchi yake japo ni chama cha mapinduzi lakini ni mzalendo
Hawa ni aina ya CCM ya kina Nyerere yaani wale wanaccm wenye uzalendo na utaifa na walobaki nchini
Kiukweli I declare interest kwamba namkubali Polepole sana
Hii nchi inahitaji kina Polepole kama 50 hivi
Huyu alitakiwa awe Waziri kabisa au mshauri wa Rais
Kwa hizi hoja kuna wa kumpinga huyu Jamaa? Anzia dk ya 14 hapo l's ?
Ndiyo hichohicho si lazima niandike kwa mpangilio unaotaka wewe.Ebu jaribu kurudia kusoma ulichoandika neno kwa neno...