mambio
JF-Expert Member
- Mar 4, 2017
- 2,345
- 2,769
Tuambieni mnataka nini?Mzalendo ni yule Yezebel anayewaletea tozo mpya kila mwezi
Magufuli hakuwakamua tozo mkampinga, Huyu kawakamua kidogo tu mnalalama.
Turudi kwenye mada, hapo Polepole ktk aliyoongea lipi limekukwaza?
Tunajadili mtu au unajadili hoja?