1. Kama ulivyosema, UONGOZI/viongozi wanachaguliwa/ wanatafutwa na mtu hatafuti uongozi.
2. Sasa kama uongozi unatafutwa na chama na siyo individual, na wewe ni mmoja wa senior members wa CCM na ulishiriki katika mchakato wa kumpata Mgombea Mwenza, kweli mlikubaliana kuwa huyu mama anaweza kuongoza nchi in case anything happens to the president to be out of power by whatever cause?
3. Mlitumia vigezo gani kumweka Mgombea Mwenza out of a multitude of well-educated women in Tanzania?
2. Sasa kama uongozi unatafutwa na chama na siyo individual, na wewe ni mmoja wa senior members wa CCM na ulishiriki katika mchakato wa kumpata Mgombea Mwenza, kweli mlikubaliana kuwa huyu mama anaweza kuongoza nchi in case anything happens to the president to be out of power by whatever cause?
3. Mlitumia vigezo gani kumweka Mgombea Mwenza out of a multitude of well-educated women in Tanzania?