chiembe
JF-Expert Member
- May 16, 2015
- 12,009
- 20,683
Mbombo ngafu, Kwanini awafuate CCM? Sio TLP au Kituo Cha Sheria na Haki za Binadamu, au wakuu wa mikoa?
Humphrey Polepole Machi 6 2021, aliwahi kusema kuwa Jaji Ntemi aliwatafuta CCM akafungua milango kama kuna mawakili wanawasumbua watanzania basi wao(CCM) wapokee taarifa za Mawakili hao na wawapelekee wao (Kamati ya maadili ya Mawakili), na kama tuhuma zitathibitika basi mtuhumiwa atafutiwa Uwakili mara moja ili mtu huyo akafanye kazi nyingine.
Humphrey Polepole Machi 6 2021, aliwahi kusema kuwa Jaji Ntemi aliwatafuta CCM akafungua milango kama kuna mawakili wanawasumbua watanzania basi wao(CCM) wapokee taarifa za Mawakili hao na wawapelekee wao (Kamati ya maadili ya Mawakili), na kama tuhuma zitathibitika basi mtuhumiwa atafutiwa Uwakili mara moja ili mtu huyo akafanye kazi nyingine.