Humphrey Polepole hatafukuzwa CCM hata aseme matope ya aina yote!

Wakiamua wanajichagulia tu.
1.Tumpe ajali
2.Apigwe sumu
3.Avamiwe na majambazi
4.Tuseme amejinyonga


Naongelea mambo ya huku Cuba nilipo.

Rat race….

In the abundance of water a fool is thirsty…

si ule kwa urefu wa kamba yako Polepole anakusumbua nini…kaongea nini kibaya…
 
Unavyomuona si anavyoonwa.
Mwepesi sana huyo, huwezi kumfananisha na wakongwe wa CCM.
 
Sidhani! Kwa nchi hii sema wanamwacha tu,akithubutu kuropoka hayo anayoyajua huenda wanaweza kumpoteteza!
 
Ni kwa sababu anajua mengi sana na hivyo akiwa nje ya mfumo anaweza kuwa hatari Zaidi ukizingatia pia umri wake.

Akina Membe walifukuzwa kirahisi kwa sababu tayari uzee ulishakuwepo ndani yao.

Polepole bado ana nafasi ya kufanya makubwa na hivyo akiwa nje ya Chama na mfumo anaweza kuleta nguvu sana kwenye upinzani kwani anajua hata wizi wa kura ulivyofanyikka na mifumo yote dhaifu anaweza kuikabili against.

Ushauri wangu:
Polepole anafaa kuwa Balozi na kupelekwa ubalozi wa mbali sana sana tena ikiwezekana China ambako anaweza kuwekewa majasusi wa ndani ya Chama chake!
Nilicho jifunza kwenye siasa zetu 2015 kupitia Lowasa,hamnaga adui wa kudumu usishangae Makonda akagombea jimbo kupitia chama cha upinzani kinacho mponda.
 
Ni kwa sababu anajua mengi sana na hivyo akiwa nje ya mfumo anaweza kuwa hatari Zaidi ukizingatia pia umri wake.

Akina Membe walifukuzwa kirahisi kwa sababu tayari uzee ulishakuwepo ndani yao.

Polepole bado ana nafasi ya kufanya makubwa na hivyo akiwa nje ya Chama na mfumo anaweza kuleta nguvu sana kwenye upinzani kwani anajua hata wizi wa kura ulivyofanyikka na mifumo yote dhaifu anaweza kuikabili against.

Ushauri wangu:
Polepole anafaa kuwa Balozi na kupelekwa ubalozi wa mbali sana sana tena ikiwezekana China ambako anaweza kuwekewa majasusi wa ndani ya Chama chake!
Umeandika utopolo, mfano masha alitoka ccm nae alikuwa mzee, slowslow anaijua ccm kuliko kina lowasa, kina nyalandu wengine wengi?
 
Yaan pole pole awe na madhara kuliko Membe. Bro kuwa serious bas!!!?
 
Ni kwa sababu anajua mengi sana na hivyo akiwa nje ya mfumo anaweza kuwa hatari Zaidi ukizingatia pia umri wake.

Akina Membe walifukuzwa kirahisi kwa sababu tayari uzee ulishakuwepo ndani yao.

Polepole bado ana nafasi ya kufanya makubwa na hivyo akiwa nje ya Chama na mfumo anaweza kuleta nguvu sana kwenye upinzani kwani anajua hata wizi wa kura ulivyofanyikka na mifumo yote dhaifu anaweza kuikabili against.

Ushauri wangu:
Polepole anafaa kuwa Balozi na kupelekwa ubalozi wa mbali sana sana tena ikiwezekana China ambako anaweza kuwekewa majasusi wa ndani ya Chama chake!
Kwakweli hakuna mwenye nguvu zaidi ya mwenyekiti wamemwacha tu arukeruke kama maharage aive
 
Back
Top Bottom