Polepole anafaa kwa Ukatibu Mkuu CCM

Justine Marack

JF-Expert Member
Jul 31, 2014
567
1,550
Kama kweli Mwenyekiti wa CCM Taifa anataka kuongeza mvuto, basi aende na Humphrey Polepole.

Kiukweli Mzee wa "kataa wahuni" analog kundi kubwa sana Tena zaidi hata ya MAKONDA.

Sasa fikiria combination ya Makonda na Polepole hii itakua CCM ya moto sana.

Hii combination itaongeza Imani kwa Serikali na Chama. Pia itaongeza ufanisi wa utendaji kwa mawaziri na watumishi wa umma.

Polepole anauwezo wa kujenga hoja na pia ni kijana mweredi Dana wa siasa za Afrika na Tanzania.

Uamuzi wa kumpa ubalozi ulikua mzuri ili kumlinda na nongwa na kashfa za kutengeneza. Na Sasa ni wakati wa kumtumia.

Wazungu husema "Save the best for the last"
 
wafanye wawezavyo yule dogo kihongosi wamludishe kwenye chama chama limebaki plain sasa! dogo yule nae ana ushawishi sana!
 
Wahuni hawawezi kumpenda! Na ukizingatia huenda wana nguvu katika Chama sijui kama watampa hiyo nafsi!
 
Kama kweli Mwenyekiti wa CCM Taifa anataka kuongeza mvuto, basi aende na Humphrey Polepole.

Kiukweli Mzee wa "kataa wahuni" analog kundi kubwa sana Tena zaidi hata ya MAKONDA.

Sasa fikiria combination ya Makonda na Polepole hii itakua CCM ya moto sana.

Hii combination itaongeza Imani kwa Serikali na Chama. Pia itaongeza ufanisi wa utendaji kwa mawaziri na watumishi wa umma.

Polepole anauwezo wa kujenga hoja na pia ni kijana mweredi Dana wa siasa za Afrika na Tanzania.

Uamuzi wa kumpa ubalozi ulikua mzuri ili kumlinda na nongwa na kashfa za kutengeneza. Na Sasa ni wakati wa kumtumia.

Wazungu husema "Save the best for the last"
hafai hata kuwa katibu wa tawi
 
Kama kweli Mwenyekiti wa CCM Taifa anataka kuongeza mvuto, basi aende na Humphrey Polepole.

Kiukweli Mzee wa "kataa wahuni" analog kundi kubwa sana Tena zaidi hata ya MAKONDA.

Sasa fikiria combination ya Makonda na Polepole hii itakua CCM ya moto sana.

Hii combination itaongeza Imani kwa Serikali na Chama. Pia itaongeza ufanisi wa utendaji kwa mawaziri na watumishi wa umma.

Polepole anauwezo wa kujenga hoja na pia ni kijana mweredi Dana wa siasa za Afrika na Tanzania.

Uamuzi wa kumpa ubalozi ulikua mzuri ili kumlinda na nongwa na kashfa za kutengeneza. Na Sasa ni wakati wa kumtumia.

Wazungu husema "Save the best for the last"
Hawezi kupewa kwasababu kuna kundi la wajinga la Msoga linapenda kuwaaminisha Watanzania kuwa taifa linapaswa kuongozwa na watu wasio na akili na kuwa mwizi wa Mali za umma ni sifa.

Sent from my V2111 using JamiiForums mobile app
 
Kama kweli Mwenyekiti wa CCM Taifa anataka kuongeza mvuto, basi aende na Humphrey Polepole.

Kiukweli Mzee wa "kataa wahuni" analog kundi kubwa sana Tena zaidi hata ya MAKONDA.

Sasa fikiria combination ya Makonda na Polepole hii itakua CCM ya moto sana.

Hii combination itaongeza Imani kwa Serikali na Chama. Pia itaongeza ufanisi wa utendaji kwa mawaziri na watumishi wa umma.

Polepole anauwezo wa kujenga hoja na pia ni kijana mweredi Dana wa siasa za Afrika na Tanzania.

Uamuzi wa kumpa ubalozi ulikua mzuri ili kumlinda na nongwa na kashfa za kutengeneza. Na Sasa ni wakati wa kumtumia.

Wazungu husema "Save the best for the last"
Nchimbi ndio anafaa hapo
 
Kama kweli Mwenyekiti wa CCM Taifa anataka kuongeza mvuto, basi aende na Humphrey Polepole.

Kiukweli Mzee wa "kataa wahuni" analog kundi kubwa sana Tena zaidi hata ya MAKONDA.

Sasa fikiria combination ya Makonda na Polepole hii itakua CCM ya moto sana.

Hii combination itaongeza Imani kwa Serikali na Chama. Pia itaongeza ufanisi wa utendaji kwa mawaziri na watumishi wa umma.

Polepole anauwezo wa kujenga hoja na pia ni kijana mweredi Dana wa siasa za Afrika na Tanzania.

Uamuzi wa kumpa ubalozi ulikua mzuri ili kumlinda na nongwa na kashfa za kutengeneza. Na Sasa ni wakati wa kumtumia.

Wazungu husema "Save the best for the last"

Kwa CCM hii hata amber ruty anafaa kuwa Katibu Mkuu.
 
Kama kweli Mwenyekiti wa CCM Taifa anataka kuongeza mvuto, basi aende na Humphrey Polepole.

Kiukweli Mzee wa "kataa wahuni" analog kundi kubwa sana Tena zaidi hata ya MAKONDA.

Sasa fikiria combination ya Makonda na Polepole hii itakua CCM ya moto sana.

Hii combination itaongeza Imani kwa Serikali na Chama. Pia itaongeza ufanisi wa utendaji kwa mawaziri na watumishi wa umma.

Polepole anauwezo wa kujenga hoja na pia ni kijana mweredi Dana wa siasa za Afrika na Tanzania.

Uamuzi wa kumpa ubalozi ulikua mzuri ili kumlinda na nongwa na kashfa za kutengeneza. Na Sasa ni wakati wa kumtumia.

Wazungu husema "Save the best for the last"
Naunga mkono hoja 💯 kwa 💯 !!
🙏🙏 kataa wahuni 😅😅🙏
 
Kama kweli Mwenyekiti wa CCM Taifa anataka kuongeza mvuto, basi aende na Humphrey Polepole.

Kiukweli Mzee wa "kataa wahuni" analog kundi kubwa sana Tena zaidi hata ya MAKONDA.

Sasa fikiria combination ya Makonda na Polepole hii itakua CCM ya moto sana.

Hii combination itaongeza Imani kwa Serikali na Chama. Pia itaongeza ufanisi wa utendaji kwa mawaziri na watumishi wa umma.

Polepole anauwezo wa kujenga hoja na pia ni kijana mweredi Dana wa siasa za Afrika na Tanzania.

Uamuzi wa kumpa ubalozi ulikua mzuri ili kumlinda na nongwa na kashfa za kutengeneza. Na Sasa ni wakati wa kumtumia.

Wazungu husema "Save the best for the last"
AMEKUTUMA? Mwambie ubalozi unamtosha hatutaki kurudi enzi za washamba, hata huyo Makonda wako hatakaa muda mrefu.
 
Back
Top Bottom