CHIBURABANU
JF-Expert Member
- Sep 19, 2013
- 2,921
- 3,461
Atakuwa mgogo labda.Pole pole sio Mnyiramba yule!
Atakuwa mgogo labda.Pole pole sio Mnyiramba yule!
Sema wazi afukuzwe kwa makosa yapi? Yataje hata kwa uchache!Ni kwa sababu anajua mengi sana na hivyo akiwa nje ya mfumo anaweza kuwa hatari Zaidi ukizingatia pia umri wake.
Akina Membe walifukuzwa kirahisi kwa sababu tayari uzee ulishakuwepo ndani yao.
Polepole bado ana nafasi ya kufanya makubwa na hivyo akiwa nje ya Chama na mfumo anaweza kuleta nguvu sana kwenye upinzani kwani anajua hata wizi wa kura ulivyofanyikka na mifumo yote dhaifu anaweza kuikabili against.
Ushauri wangu:
Polepole anafaa kuwa Balozi na kupelekwa ubalozi wa mbali sana sana tena ikiwezekana China ambako anaweza kuwekewa majasusi wa ndani ya Chama chake!
Mtu wa wapi hivi?..au mmakonde?Pole pole sio Mnyiramba yule!
Huyo jela inamuita soon, Kuna ufujaji mkubwa wa pesa za chama aliufanya, na ana tuhuma za utakatishaji fedha ( Money laundering)Ni kwa sababu anajua mengi sana na hivyo akiwa nje ya mfumo anaweza kuwa hatari Zaidi ukizingatia pia umri wake.
Akina Membe walifukuzwa kirahisi kwa sababu tayari uzee ulishakuwepo ndani yao.
Polepole bado ana nafasi ya kufanya makubwa na hivyo akiwa nje ya Chama na mfumo anaweza kuleta nguvu sana kwenye upinzani kwani anajua hata wizi wa kura ulivyofanyikka na mifumo yote dhaifu anaweza kuikabili against.
Ushauri wangu:
Polepole anafaa kuwa Balozi na kupelekwa ubalozi wa mbali sana sana tena ikiwezekana China ambako anaweza kuwekewa majasusi wa ndani ya Chama chake!
Polepole ni mwepesi Kama unyoyaaMbona Polepole anawatia hofu sana?
Kwa hiyo unafanya kazi Cuban Marimba?Wakiamua wanajichagulia tu.
1.Tumpe ajali
2.Apigwe sumu
3.Avamiwe na majambazi
4.Tuseme amejinyonga
Naongelea mambo ya huku Cuba nilipo.
nashauri apelekwe ubalozi - Yugostilavia ili akakae mbali na CCM yetu.Ushauri wangu:
Polepole anafaa kuwa Balozi na kupelekwa ubalozi wa mbali sana sana tena ikiwezekana China ambako anaweza kuwekewa majasusi wa ndani ya Chama chake!
Anajua mengi kuliko Lowasa,Sumaye na Membe?Ni kwa sababu anajua mengi sana na hivyo akiwa nje ya mfumo anaweza kuwa hatari Zaidi ukizingatia pia umri wake.
Akina Membe walifukuzwa kirahisi kwa sababu tayari uzee ulishakuwepo ndani yao.
Polepole bado ana nafasi ya kufanya makubwa na hivyo akiwa nje ya Chama na mfumo anaweza kuleta nguvu sana kwenye upinzani kwani anajua hata wizi wa kura ulivyofanyikka na mifumo yote dhaifu anaweza kuikabili against.
Ushauri wangu:
Polepole anafaa kuwa Balozi na kupelekwa ubalozi wa mbali sana sana tena ikiwezekana China ambako anaweza kuwekewa majasusi wa ndani ya Chama chake!
Umri wake mdogo akiendeleza mapambano akiwa upinzani anaweza akawa tishio sana. Huyu sio mwoga kama Makonda!
Hapana. Ana miaka 38 sasa!
Kwa hiyo unafanya kazi Cuban Marimba?Wakiamua wanajichagulia tu.
1.Tumpe ajali
2.Apigwe sumu
3.Avamiwe na majambazi
4.Tuseme amejinyonga
Naongelea mambo ya huku Cuba nilipo.
Kwa hiyo unafanya kazi Cuban Marimba?Wakiamua wanajichagulia tu.
1.Tumpe ajali
2.Apigwe sumu
3.Avamiwe na majambazi
4.Tuseme amejinyonga
Naongelea mambo ya huku Cuba nilipo.
Hao wafia chama wamekulia kwenye chama walikuwa hawawezi kukiumiza chama ni hasira tu na ndio maana wamerudi chamani.
Kingai anamtengenezea kesi kali!Huyo jela inamuita soon, Kuna ufujaji mkubwa wa pesa za chama aliufanya, na ana tuhuma za utakatishaji fedha ( Money laundering)
HIZO Ni tetesi zenye ukweli 100%