Kumbuka ana kesi nyingine huko Moshi, mchezo bado sana huu....
 
Mahakama ya Hakimu Mkazi Arusha imehitimisha usikilizwaji wa kesi ya jinai namba 105 ya mwaka 2021, inayomkabili aliyekuwa mkuu wa wilaya ya Hai mkoani Kilimanjaro Lengai Ole Sabaya na wenzake wawili, hukumu ya Kesi hiyo sasa ni Oktoba 01, 2021.
Hukumu inaeleweka tayari. 7baya ajiandae kuja kumtolea ushahidi Mbowe Kisutu

Sent from my SM-G9350 using JamiiForums mobile app
 
Mahakama ya Hakimu Mkazi Arusha imehitimisha usikilizwaji wa kesi ya jinai namba 105 ya mwaka 2021, inayomkabili aliyekuwa mkuu wa wilaya ya Hai mkoani Kilimanjaro Lengai Ole Sabaya na wenzake wawili, hukumu ya Kesi hiyo sasa ni Oktoba 01, 2021.
ajiandae kulipa faini - ila next time awe makini sana, nafikiri msemo wa "Cheo ni dhamana" atakuwa ameuelewa vilivyo.
 
Ishu ya Sabaya ilikua kutuhadaa kwamba sheria Ni msumeno na Mama n mpenda haki but nothing at all!

Kingine spidi ya kesi, Ni kumtengenezea mazingira sabaya kumezeshwa sumu atakayoenda kuimwaga kwenye inshu ya Mbowe!!

#muda Ni msema kweli'!
Asante kwa ramli
 
Mahakama ya Hakimu Mkazi Arusha imehitimisha usikilizwaji wa kesi ya jinai namba 105 ya mwaka 2021, inayomkabili aliyekuwa mkuu wa wilaya ya Hai mkoani Kilimanjaro Lengai Ole Sabaya na wenzake wawili, hukumu ya Kesi hiyo sasa ni Oktoba 01, 2021.
Kesi zote zingekuwa zinaendeshwa faster hivi, magereza yangekuwa tupu na rushwa ingekupungua sn
 
Utashangaa mahakama inamhukumu kifungo cha miaka mitano jela, au kulipa faini ya shilingi laki mbili na nusu!!

Maajabu ya mahakama zetu hayo.
 
Huu utata majina mnh...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…