Ulimbo
JF-Expert Member
- Aug 14, 2009
- 3,767
- 4,035
- Thread starter
- #21
twatumai kupata feedback mapema kadili utakavyopata info zaidi.we are waiting!
Kuna wakili mmoja wa kujitegemea alikuwa mahakamani leo ndiye kaleta hizo taarifa. Kwa sasa yuko na wateja wake, nikipata nafasi yakukutana naye, nitawajuza zaidi.