Huku sasa kumeingilika na nini?

Huku sasa kumeingilika na nini?

Mkuu hata wewe si unapitia mabadiliko katika maisha?
Ha ha ha haaaa.. Umenikumbusha mbali sana Mkuu, nikiwa chuo, girlfriend wangu alikua ananizungua sana baada ya yeye nae kujoin chuo tofauti na mimi, yaani pozi nyingi, dharau, hana time kabisa na mimi, nikimuuliza mbona mabadiliko makubwa na ghafla hivyo ananiambia "kwani wewe hupitii mabadiliko?", anasema " mabadiliko ni lazima maana mwili na akili pia zinakua, kwahiyo mtu lazima uwaze tofauti"... Dah, Roho ilikuaga inaniwaka moto... Ila hua namshukuru sana maana toka siku nilipoamua kua sasa basi.. Ilikua basi kweli na alinipa elimu kubwa sana juu ya saikolojia ya mwanamke bila yeye kujijua.. Hii imenifanya mpaka leo nimeoa namtreat mkewangu kwa namna flani hivi amazing upande wangu.
 
Karibu tena kilingeni bi shost. Mbona ulitutosa muda mrefu hivyo au kazi ya kulea wajukuu imekutinga ?
wajukuu wamekuwa wengi kiasi kwamba nataka wengine kuwagawa sijui nikupe mmojawapo hasa wa kike akusaidie kazi za hapo home hahahaaaaa
 
yaani palikuwa hapashikiki best yaani mpaka kukumbuka hivi ujue kuwa jf imechange sanaaa
Wengi tumekuwa watizamaji humu,nakumbuka miaka ya 2008-2013 hivi tulikuwa tunakesha humu kwa mijadala kemkem.Siku hizi sim being rahisi mpk watoto wanazo
 
Back
Top Bottom