Heaven Sent
JF-Expert Member
- Sep 27, 2013
- 32,717
- 98,376
Haha aibu nimeona mimi. Me alinipataje sijuiHeaven Sent njoo uone uongo wa baba yako.
Haha aibu nimeona mimi. Me alinipataje sijuiHeaven Sent njoo uone uongo wa baba yako.
Mmh aliyekuficha mpe hongera zakeDaah..Nimemmiss Douta..Mpe hi mkionana
Mzee wa fiksi huyo.Haha aibu nimeona mimi. Me alinipataje sijui
Kwakweli hongera zake.Mmh aliyekuficha mpe hongera zake
Mi piaNaimiss ID yangu ya zamani.
Nipo Douta...Gauni la Eid nilimpa mama yako akuletee..Sijui Kama lilifikaMmh aliyekuficha mpe hongera zake
Msabahi mke mwenza.
Uh!!! Umeamua kunisingizia!!Nipo Douta...Gauni la Eid nilimpa mama yako akuletee..Sijui Kama lilifika
Si nilikuambia hiyo kazi siiwezi as bado nina wivu.Ushampata?
Si nilikuambia hiyo kazi siiwezi as bado nina wivu.
Hujui Mello aliwekwa rumande na zikatafutwa ID za watu humu, wenzio wameponea chupuchupu kutekwa!

UMEBADILIKA SANA BESTITO AISEE SIJAKUTARAJIA KAMA UMEKUWA MCHINA KWA AVATAR HAPO HAHAHAHAAAAAAAAisee hivi upo?
HATA NAMI NAONA AISEE KWELI MNASAKA TONGE ILA CHUNGENI MSIJE KUSAKA VISIVYOSAKWA HAHAHAAAAATupo tunasaka note
hahahaaaaaaaaaaaaaaaaaa au nawe umebadili nini ID mpya nambie basi kwa pembeni wasijue hapaWenzio washawahi majina ya ID mpya sasa wewe chelewa chelewa majina yaishe sijui utajiita mwantumu.
Cc ladyfurahia