Kaboom
JF-Expert Member
- Nov 6, 2011
- 10,827
- 15,015
Mimi nina kipaji gani mama?Wewe hapo.
Mimi nina kipaji gani mama?Wewe hapo.
Cha michepuko.Mimi nina kipaji gani mama?
Vipaji vipya ndo wakina nani?
Yani hata ikitokea nimekufa kwa Ngoma ukae ukijua wewe ndo chanzoCha michepuko.
Yani hata ikitokea nimekufa kwa Ngoma ukae ukijua wewe ndo chanzo
Yap..Mana sijawahi kuna na msichana mwingine zaidi yako![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Kwamba mimi ndio nimekuambukiza au!!!!!!?????
Wacha we!!!!!!Yap..Mana sijawahi kuna na msichana mwingine zaidi yako
Unajuaje ukuniacha nao..Kwani tumewahi kupima tukiwa wote??Wacha we!!!!!!
Kuna kabinti unakamendea nini!!!! Maana sio kwa uongo huo.
Sasaaaaa, sasa hivi ukikutwa nao nakuwa nimekuambukizaje kwamfano!!! Wakati sikukuacha nao!!!!
Ndio tulipima, na tulivyoachana nikapima tena.Unajuaje ukuniacha nao..Kwani tumewahi kupima tukiwa wote??
Haya banaNdio tulipima, na tulivyoachana nikapima tena.
Heaven Sent njoo uone uongo wa baba yako.Yap..Mana sijawahi kuna na msichana mwingine zaidi yako
Daah..Nimemmiss Douta..Mpe hi mkionanaHeaven Sent njoo uone uongo wa baba yako.
Si umetutenga bwana, sawa tu, zimefika.Daah..Nimemmiss Douta..Mpe hi mkionana
Naanzaje sasa..Nenda kusini nenda kaskazini my family always comes firstSi umetutenga bwana, sawa tu, zimefika.
Haya bwana, sie twakumiss tu.Naanzaje sasa..Nenda kusini nenda kaskazini my family always comes first