Huku sasa kumeingilika na nini?

Huku sasa kumeingilika na nini?

Acha kizazi kipya kifanye yake,nacho kiache history kama ya unaowataja.
 
Hujui Mello aliwekwa rumande na zikatafutwa ID za watu humu, wenzio wameponea chupuchupu kutekwa!
 
Wacha we!!!!!!
Kuna kabinti unakamendea nini!!!! Maana sio kwa uongo huo.
Sasaaaaa, sasa hivi ukikutwa nao nakuwa nimekuambukizaje kwamfano!!! Wakati sikukuacha nao!!!!
Unajuaje ukuniacha nao..Kwani tumewahi kupima tukiwa wote??
 
Inaelekea humu ndani palikuwa hot sana kipindi cha nyuma eee
 
Back
Top Bottom