Huko kwenye viwanja vya Saba Saba hali ikoje?

Huko kwenye viwanja vya Saba Saba hali ikoje?

Dah we Jamaa itabidi ulipwe vizur sana kuliko Zack 😂😂😂😂😂😂
Gentleman,
sihitaji malipo kwenye kazi hii ya kizalendo ya kueleza ukweli mtupu kwenye mambo ya msingi tu.

Neema na Baraka za Mungu zanitosha 🐒
 
Kama hili nalo hulijui basi iq yako iko chini sana.
Mkuu watu wamejilimbikizia Mali nje. Kikinuka wasepa na familia zao. Nimeuliza katika kutafuta kujifunza jambo jipya ili nijue hilo pigo litakalowapata wao kama wao individually. Ni pigo lipi hilo la kuwafanya wajute?
 
😂😂😂😂😂😂😂
Ndugu zangu siku nikiwa na akili kama hizi naomba mniuwe
Gentleman,
ukipewa akili kama zangu huwezi kubeba hicho kichwa, utakua ukianguka tu kama vile umebeba gunia la mchanga.

In fact,
uwezo na akili nyingi na kubwa nilizo nazo ni kwa Neema na Baraka za Mungu pekee, na sio kwa ujanja wangu.

Mwenyezi Mungu akujalie akili zaidi gentleman 🐒
 
In fact hata ninavyoreply comment yako niko viwanjani, umauti wa wananchi wanaoingia na kutoka kwenye maonyesho ni mkubwa pengine kuliko hata wakati uliopita licha ya kua kuna hali ya mawingu na mvua za hapa na pale.

halafu kupo shwari sana,
na utaratibu wa kuingia na kutoka umerahisishwa na kuboreshwa sana.

Nadhani bila unafiki na propaganda za vibaraka na mamluki wa mabwenyenye ya magharibi,
Tuwe wakweli tu,
maonyesho ya kibaashara ya kimataifa sabasaba kwa mwaka 2026 yamefanikiwa zaidi kuliko wakati mwingine wowote 🐒
Ni kama zile kura 31m bila wapiga kura vituoni.
 
Ila hili la sabasaba umedanganya sasa Kwa kudanganya napo ni uzalendo?
Gentleman,
sina haja ya kueleza kisicho cha kweli kwasababu hakina faida yoyote kwangu au kwa huyo ninaemueleza kisicho kweli.

mimi sio muumini wa uongo au upotoshaji,
daima nitaeleza ukweli mtupu kwenye mambo ya msingi tu, bila kuchoka wala kubabaika na setbacks za wapotoshaji.

sina sababu hata moja kupoteza bando, muda au nguvu zangu kueleza uongo.

nilichoeleza kwenye comment yangu ya msingi kuhusu sabasaba ni ukweli mtupu usio na chembe ya ukakasi 🐒
 
Gentleman,
ukipewa akili kama zangu huwezi kubeba hicho kichwa, utakua ukianguka tu kama vile umebeba gunia la mchanga.

In fact,
uwezo na akili nyingi na kubwa nilizo nazo ni kwa Neema na Baraka za Mungu pekee, na sio kwa ujanja wangu.

Mwenyezi Mungu akujalie akili zaidi gentleman 🐒
Ndiyo maana nikasema nikiwa na akili kama zako ndugu zangu waniuwe. Nisije kuwa naanguka tu kama usemavyo
 
Gentleman,
sina haja ya kueleza kisicho cha kweli kwasababu hakina faida yoyote kwangu au kwa huyo ninaemueleza kisicho kweli.

mimi sio muumini wa uongo au upotoshaji,
daima nitaeleza ukweli mtupu kwenye mambo ya msingi tu, bila kuchoka wala kubabaika na setbacks za wapotoshaji.

sina sababu hata moja kupoteza bando, muda au nguvu zangu kueleza uongo.

nilichoeleza kwenye comment yangu ya msingi kuhusu sabasaba ni ukweli mtupu usio na chembe ya ukakasi 🐒
Sawa pia mkuu punguza matumizi ya chartgpt.
 
Back
Top Bottom