Salary Slip
Platinum Member
- Apr 3, 2012
- 52,626
- 164,702
Vipi huko kwenye viwanja vya Saba Saba nini kinaendelea?
Maonyesho yanaendelea ?
Majibu tafadhali
Maonyesho yanaendelea ?
Majibu tafadhali
hali ni shwari sana,Vipi huko kwenye viwanja vya Saba Saba nini kinaendelea?
Maonyesho yanaendelea ?
Majibu tafadhali
Mlipora uchaguzi na kuua watu mkadhani yataisha kirahisi. Hopeless kabisa.hali ni shwari sana,
mamia kwa maelfu ya wananchi wanaingia na kutoka kwenye viwanja hivyo vya maonyesho kwa amani kabisa.
In fact maonyesho hayo yataendelea hadi July 13, na kupunguza msongamano, ikiwa unaweza kuja kesho au kesho kutwa itapendeza zaidi but hali ni shwari sana kwasasa, ila msongamano ni mkubwa zaidi ukilinganisha na vipindi vingine kama hivi.🐒
yako maeneo gani?hali ni shwari sana,
mamia kwa maelfu ya wananchi wanaingia na kutoka kwenye viwanja hivyo vya maonyesho kwa amani kabisa.
In fact maonyesho hayo yataendelea hadi July 13, na kupunguza msongamano, ikiwa unaweza kuja kesho au kesho kutwa itapendeza zaidi but hali ni shwari sana kwasasa, ila msongamano ni mkubwa zaidi ukilinganisha na vipindi vingine kama hivi.🐒
Wakizima data wanaishia kujazana ujinga tuMlipora uchaguzi na kuua watu mkadhani yataisha kirahisi. Hopeless kabisa.
usivuruge na kuhamisha mjadala kwenye hoja yako mahususi sana mezani gentleman,Mlipora uchaguzi na kuua watu mkadhani yataisha kirahisi. Hopeless kabisa.
viwanja vya mwalimu J.K.Nyerere Kilwa Road jijini Dar Es Salaam gentleman 🐒yako maeneo gani?
Na kwenye vyoo watu wamejaa? Hebu tujuze.hali ni shwari sana,
mamia kwa maelfu ya wananchi wanaingia na kutoka kwenye viwanja hivyo vya maonyesho kwa amani kabisa.
In fact maonyesho hayo yataendelea hadi July 13, na kupunguza msongamano, ikiwa unaweza kuja kesho au kesho kutwa itapendeza zaidi but hali ni shwari sana kwasasa, ila msongamano ni mkubwa zaidi ukilinganisha na vipindi vingine kama hivi.🐒
I think hilo sio muhimu gentleman 🐒Na kwenye vyoo watu wamejaa? Hebu tujuze.
Shwari kivip? Vibe lipo au mwendo wa hasara tu?Hali ni shwali kabisa hapa 7/7
Bahati ilivyo mbaya kwa wanasiasa wetu wanaotawala, wala hawawezi kuona kama hii hali ni tatizo na hata wao wanajiweka hatarini.Maeneo mengi nchini ni kama mwaka mpya kwani maduka yamefungwa watu wengi wameitikia wito wa maandamano kwa staili ya kipekee sana na ni pigo kubwa sana kwa serikali ambayo haina ridhaa ya wananchi.
Watu mnajua kutunga,kama dar wamefunga hivyo Kila mkoa wamefunga😂😂Maeneo mengi nchini ni kama mwaka mpya kwani maduka yamefungwa watu wengi wameitikia wito wa maandamano kwa staili ya kipekee sana na ni pigo kubwa sana kwa serikali ambayo haina ridhaa ya wananchi.
Dar ndio kioo cha nchiWatu mnajua kutunga,kama dar wamefunga hivyo Kila mkoa wamefunga😂😂
Hilo pigo linawapigaje wao kama wao?Maeneo mengi nchini ni kama mwaka mpya kwani maduka yamefungwa watu wengi wameitikia wito wa maandamano kwa staili ya kipekee sana na ni pigo kubwa sana kwa serikali ambayo haina ridhaa ya wananchi.