naa
JF-Expert Member
- May 5, 2013
- 1,978
- 4,556
Na mimi naona maandamano yawe yanaenda kwa style hii hamna anaeumia kila mtu analala zake ndani 🤣Maeneo mengi nchini ni kama mwaka mpya kwani maduka yamefungwa watu wengi wameitikia wito wa maandamano kwa staili ya kipekee sana na ni pigo kubwa sana kwa serikali ambayo haina ridhaa ya wananchi.