ras jeff kapita
JF-Expert Member
- Jan 4, 2015
- 19,726
- 28,281
Anaweza kuja mjinga akauliza ......hv huyo bodaboda amepona?
kwasisi watu wenye imani kwa Yesu anaweza kupona.
kwasisi watu wenye imani kwa Yesu anaweza kupona.
Mkuu ”chizi anachekesha akiwa hatoki kwenye familia yenu”Acha wafe tu usipojithamini mwenyewe nani atakuthamini?
Mirungi na konyagi vimehusika hapo.
Wataalamu wa vipimo mnasemaje, nani alikua na kosa.
Wameshawahi kumvunja mguu sister kwenye zebra kwa speed zao za ajabu ajabuMkuu ”chizi anachekesha akiwa hatoki kwenye familia yenu”
Unadhani uliyoandika hapa hao wangekuwa ndugu zako ungeyaandika?
Ni mafuta kutoka tenki la pikipiki.Huo weupe weupe hapo chini sio ubongo kweli?
Hata sisi wa Chadema tunawaita maafisa usafirishaji.Ila ccm 🙌 ety afisa usafirishaji
Ulitaka wasemejeIla ccm 🙌 ety afisa usafirishaji
Gari hayuko upande wake na hii hutokea sana gari wanahama upande tena ghafla wanasababisha ajali analaumiwa bodaNi mafuta kutoka tenki la pikipiki.
Alafu hivi wachangiaji mnaona gari lipo lane gani? Kwa akili zenu huyo boda na hilo gari nani yupo upande wake ???
Wanaleta siasa hawa nyau, wangewaita bodaboda tuu na sio mambo ya kulainisha maneno kisa siasa zaoUlitaka wasemeje
AiseeView attachment 2946552
Imetokea jana hapa mkoani Arusha eneo karibu na kiwanda cha mbolea cha Minjingu.
Hapo chini kuna pikipiki na mtu ambaye tyre ya gari imepanda kichwani na juu ya chuma jirani na kioo cha mbele na roof huyo ni afisa usafirishaji baada ya kuchapwa ndiye katulia hapo jumla.
Kwa muonekano huo wa gari hadi kukunjika bodi na vyuma, unaweza kuhisi ni spidi aina gani afisa usafirishaji alikuwa nayo.
Minjingu upo manyara na si arushaView attachment 2946552
Imetokea jana hapa mkoani Arusha eneo karibu na kiwanda cha mbolea cha Minjingu.
Hapo chini kuna pikipiki na mtu ambaye tyre ya gari imepanda kichwani na juu ya chuma jirani na kioo cha mbele na roof huyo ni afisa usafirishaji baada ya kuchapwa ndiye katulia hapo jumla.
Kwa muonekano huo wa gari hadi kukunjika bodi na vyuma, unaweza kuhisi ni spidi aina gani afisa usafirishaji alikuwa nayo.
Hakuna gari zinatemmbea mwendo wa ki staarabu kama hizo cruiser za wataliiWengi mumemlaumu afisa usafirishaji na mkasahau kuhusu swala la site ya dereva wa hiyo gari😁😁😁. Munang’ang’ania spidi ya boda utafikiri hiyo gari ni jiwe. Nawakumbusha tu wanaoendesha hizo gari za kubeba watalii wanakimbia sana hasa wakiwa wanawafuata watalii.
R.I.P mpambanaji 🥹🥹🥹
N.b mimi sio afisa usafirishaji.
Huyo mwenye gari akaingia lane ya boda boda.yaani Alibana mno lane ya boda.Wengi mumemlaumu afisa usafirishaji na mkasahau kuhusu swala la site ya dereva wa hiyo gari😁😁😁. Munang’ang’ania spidi ya boda utafikiri hiyo gari ni jiwe. Nawakumbusha tu wanaoendesha hizo gari za kubeba watalii wanakimbia sana hasa wakiwa wanawafuata watalii.
R.I.P mpambanaji 🥹🥹🥹
N.b mimi sio afisa usafirishaji.