Huenda hii ndiyo ajali mbaya zaidi ya mwendesha bodaboda nchini 2024

Wataalamu wa vipimo mnasemaje, nani alikua na kosa.



Tutatoa majibu hivi punde

GAxuLq2W4AAXCTa.jpeg
 
Ni mafuta kutoka tenki la pikipiki.
Alafu hivi wachangiaji mnaona gari lipo lane gani? Kwa akili zenu huyo boda na hilo gari nani yupo upande wake ???
Gari hayuko upande wake na hii hutokea sana gari wanahama upande tena ghafla wanasababisha ajali analaumiwa boda
Binafsi natumia usafiri wa pikipiki na wenye magari huwa Wana hila sana dhdi ya pikipiki
 
View attachment 2946552
Imetokea jana hapa mkoani Arusha eneo karibu na kiwanda cha mbolea cha Minjingu.

Hapo chini kuna pikipiki na mtu ambaye tyre ya gari imepanda kichwani na juu ya chuma jirani na kioo cha mbele na roof huyo ni afisa usafirishaji baada ya kuchapwa ndiye katulia hapo jumla.

Kwa muonekano huo wa gari hadi kukunjika bodi na vyuma, unaweza kuhisi ni spidi aina gani afisa usafirishaji alikuwa nayo.
Aisee
Hii ajali inaonesha kiwango cha kasi ya hiyo bodaboda. Afisa Usafirishaji alikuwa full maxmum speed hadi akakopa.
Inaonesha gari haikuwa speed sana au sivyo impact ingekuwa severe

NAsikitika tumepoteza Mtanzania na mlipakodi
 
View attachment 2946552
Imetokea jana hapa mkoani Arusha eneo karibu na kiwanda cha mbolea cha Minjingu.

Hapo chini kuna pikipiki na mtu ambaye tyre ya gari imepanda kichwani na juu ya chuma jirani na kioo cha mbele na roof huyo ni afisa usafirishaji baada ya kuchapwa ndiye katulia hapo jumla.

Kwa muonekano huo wa gari hadi kukunjika bodi na vyuma, unaweza kuhisi ni spidi aina gani afisa usafirishaji alikuwa nayo.
Minjingu upo manyara na si arusha
Wengi mumemlaumu afisa usafirishaji na mkasahau kuhusu swala la site ya dereva wa hiyo gari😁😁😁. Munang’ang’ania spidi ya boda utafikiri hiyo gari ni jiwe. Nawakumbusha tu wanaoendesha hizo gari za kubeba watalii wanakimbia sana hasa wakiwa wanawafuata watalii.
R.I.P mpambanaji 🥹🥹🥹
N.b mimi sio afisa usafirishaji.
Hakuna gari zinatemmbea mwendo wa ki staarabu kama hizo cruiser za watalii
 
Wengi mumemlaumu afisa usafirishaji na mkasahau kuhusu swala la site ya dereva wa hiyo gari😁😁😁. Munang’ang’ania spidi ya boda utafikiri hiyo gari ni jiwe. Nawakumbusha tu wanaoendesha hizo gari za kubeba watalii wanakimbia sana hasa wakiwa wanawafuata watalii.

R.I.P mpambanaji 🥹🥹🥹
N.b mimi sio afisa usafirishaji.
Huyo mwenye gari akaingia lane ya boda boda.yaani Alibana mno lane ya boda.
 
Back
Top Bottom