Huduma za FastJet: Kero za watumiaji

Huduma za FastJet: Kero za watumiaji

Naomba nisijibu hilo.
asante

unafikiri sekta ya anga Tz inakua sana kiasi tunahitaji uwekezaji mkubwa kiasi hicho?Ukijua Ndege unaweza pia kuendesha Helicopter?Je kuna tofauti ya Elimu kati ya rubani anayeendesha C208,CRJ,LJ27,A320 na B738?
 
unafikiri sekta ya anga Tz inakua sana kiasi tunahitaji uwekezaji mkubwa kiasi hicho?Ukijua Ndege unaweza pia kuendesha Helicopter?Je kuna tofauti ya Elimu kati ya rubani anayeendesha C208,CRJ,LJ27,A320 na B738?

Sekta ya anga TZ inakua kwa kweli.
Ila si kwa kasi sana.

Yes . tunahitaji uwekezaji wa hali na mali kwenye hii sekta.
Angalia ukubwa wa nchi na angalia idadi ya watu .

Hapana ..
licence ya "fix wing " ni tofauti na licence ya "helicopter"
na kasheshe nyingi ni fedha helicopter kwa lisaa ni kama $400 hivi na fix wing ni $200.

chukulia masomo ya CPL "fix wing"
Human Factors,(HF) Air Law, Meteorology,(MET) Principles of Flight,(POF) Navigation, General Aircraft Technical Knowledge (Air tech)

na ukiamua kufanya helicopta utafanya " POF"Helicopter na Ait Tech Helicopter" mengine yote ni sawa kabisa.

lakini ukija kwenye kurusha kila kitu ni tofauti kabisa.

unaweza kuendesha vyote lakini utasomea kwa majira tofauti na licence ni tofauti pia.

Kwenye Urubani kuna vitu viwili muhimu sana "VFR= Visual flight rules" na "IFR=Instrument flight rules"

Hizo ndege ulizitaja hapo ni IFR halafu pia ni Multi Engine(sio zote c208 ni VFR , single engine) .
Kwa hiyo unatakiwa uwe na Multi Engine Instrument rating kurusha.

unaweza kurusha ndege yeyote ili
Lakini lazima uwe na "Type rating ya hiyo ndege"
ama sivyo ni big No. Kurusha solo labda iwe duel flight.

Hopeful nimekujibu maswali yako yote na mi ngoja nikimbie kidogo...
asante kwa maswali yako ya kujenga.
AfroD
 
Dah!unanikmbia wakati ndo unaleta nondoz?na hamu ya kujua sana mambo ya Aviation!I once worked with Aviation Industry in Kenya kama Customer Agent
 
Hebu tupe sababu za kusupport point yako hiyo fastjet itatutoaje roho,manake mie nilipanda Airbus yao moja ni kali kuliko hivyo vikopo vyenu vya precision.

ndugu fastjet ni ndege nzuri sana usikii hata mitikisiko kitu 45min uko kia raha sana nawaombea waendelee kuwepo
 
Dah!unanikmbia wakati ndo unaleta nondoz?na hamu ya kujua sana mambo ya Aviation!I once worked with Aviation Industry in Kenya kama Customer Agent

hahahahahaahah

ntakueleza taratibu tu .
we kila ukiniona mahali humu ndani nibane na swali.
Na mi ntajaribu kujibu kadiri ya uwezo wangu .
siku njema.
 
Niko hapa Dar international Airport, yaani ni kizungumkuti jamaa wame cancel ndege
Ya asubuhi ya kwenda KIA ambayo wengine ndio tulikuwa tunawahi kazini . Hawa jamaa biashara imeanza kuwashinda.
Kibaya zaidi hawajatufahamisha, wengine tumeamka saa 9 usiku ili tuwahi.

Mkuu pole sana but ngoka nikufahamishe kitu hiyo Safari ya asubuhi imekuwa rescheduled kutokana na cancellation ya safari za mwz jro znz Sasa kwa dar jro ndege ya kwanza kabisa ilikuwa haina demand kubwa ilihali ndege ya jioni inakuwa na demand kubwa sana ikabidi ndege ya asubuhi saa kumi na mbili ikarudishwa saa 5 ili kuleta uwiano sawa na ndege ya jioni.. Abiria wote huwa wanataarifiwa inaweza kuwa ulizima simu yako au hukupokea simu.. Au hukuweka contact zako pia yote yanawezekana.
 
ndugu fastjet ni ndege nzuri sana usikii hata mitikisiko kitu 45min uko kia raha sana nawaombea waendelee kuwepo

Tatizo ni chuki binafsi huwezi fananisha ndege za precision na Airbus a319.. Kwanza kuihudumia ndege yenyewe kwa safari ya dk 45 ni tabu coz ni kubwa na abiria ni wengi..
 
Akauna kesi mkuu hayta wakaikau؛lsaza wikai yshahdi ndege aikauukaa watakachofanya nikutakiwa kukupa ndege nyingine na s nauli
naona umegonga kithungu,sijakuelewa vizuri
 
Taratibu tu tutafika ...
Ninamtumaini makubwa sana na aviation industry hapa TZ .
Samahani Shasti afrodenzi kukurudisha nyuma kidogo! Nafikiri matumaini yawe madogo maana tatizo letu kubwa ni haraka zetu za kupata mshiko bila malengo madhubuti katika mipango yetu. Utaona hata binti wa miaka 18 anazungumzia kujenga hekalu kama la Mama Mchungaji mmoja au kununua vx wakati hata shule hajamaliza. Sie enzi zetu tulikuwa tunawaza kusoma na kuolewa tu. Hivyo basi nadhani kukosekana kwa marubani wa Kitanzania si suala la uchumi tu na pengine ni kuendekeza njaa zetu. Wenzetu wakiomba kazi msukumo wao ni kuongeza masaaa pengine hata kwa mshahara kiduchu wakati wenzetu ni mshahara mkubwa kwanza, masuala ya masaa baadaye. Unasemaje kuhusu hili?
 
Cancellation ya ndege sio ajabu, ila namna ambavyo unaweza kuwataarifu wateja wako kuhusu jambo unalolifanya! Sasa Airbus A319 isipojaa hawaruki ikijaa wanaruka maajabu sana haya, Tanzania tu ndio kuna vitu kama hivyo, pole mdau kwa kukosa safari yako lakini ukiwaona hao wahudumu wa hiyo ndege waambie wateja tumehuzunika sana wengine tuna ticket 15 zote wamecancel
 
Mmoja kati ya wasafiri wetu wa mara ya kwanza na fastjet Miss Rose akiwa katika ofisi zetu za mauzo Safasha Plaza alipokuja kukata tiketi yake.

attachment.php


attachment.php


attachment.php


attachment.php


attachment.php



Kwenye picha ni Mr. Ikongo, mmoja kati ya wasafiri wetu wa mara kwa mara, akiwa uwanja wa ndege wa airport tayari kwa safari yake kuelekea Mwanza
attachment.php


attachment.php


attachment.php


attachment.php
 
Hawa jamaa kweli biashara imewashinda mimi niliwakatia wadogo zangu tiketi za kutoka Mwanza to KIA wiki ijayo eti yamenipigia simu safari za mwanza kia zimefutwa nikachukue hela yangu ubabaishaji mkubwa.
Wapuuzi sana hii safari ya MWZ-KIA wameicancel wakati watu tuna tiketi mikononi,sasa sijui waliinzisha kukomoa au kuharibu tu ,naanza kuhisi kushindwa kwao hata kwa route nyingine
 
Mmoja kati ya wasafiri wetu wa mara ya kwanza na fastjet Miss Rose akiwa katika ofisi zetu za mauzo Safasha Plaza alipokuja kukata tiketi yake. Kwenye picha ni Mr. Ikongo, mmoja kati ya wasafiri wetu wa mara kwa mara, akiwa uwanja wa ndege wa airport tayari kwa safari yake kuelekea MwanzaKwenye picha ni Mr. Ikongo, mmoja kati ya wasafiri wetu wa mara kwa mara, akiwa uwanja wa ndege wa airport tayari kwa safari yake kuelekea Mwanza

Kwanza hongera wadada (wahudumu na abiria mtarajiwa) kwenye hiyo picha wamependeza sana. Safasha Plaza ndiyo wapi?? Na huku kwetu Katavi mtaanza lini kuja, au angalau hadi jiji la Mbeya basi, lini???
 
Mbona hizo picha sizioni? Sasa wewe ni mfanyakazi wa fastjet au nini? Na hii nia yake ni nini hasa? Unatangaza biashara? Basi ondoa hapa kwenye habari mchanganyiko na peleka huko kwenye matangazo ya biashara!!!!

Tiba
 
fastJet ni mataperi wakubwa tu, jana asubuhi nilienda ofisi zao zilizopo pale oppositi na TANESCO kuulizia afa ya 32,000/= walizoangaza nikaambiwa hazijaanza, bei ya kwenda mwanza tarehe 26/04/2013 ni tshs 139,000.00 hapo nafuu iko wapi? kwa nini hawajumuishi gharama zote, mara nyingi ukiwapigia kuwauliza wanakura kona.
 
Niko hapa Dar international Airport, yaani ni kizungumkuti jamaa wame cancel ndege
Ya asubuhi ya kwenda KIA ambayo wengine ndio tulikuwa tunawahi kazini . Hawa jamaa biashara imeanza kuwashinda.
Kibaya zaidi hawajatufahamisha, wengine tumeamka saa 9 usiku ili tuwahi.

Jambo la kawaida sana hilo!!
 
Samahani Shasti afrodenzi kukurudisha nyuma kidogo! Nafikiri matumaini yawe madogo maana tatizo letu kubwa ni haraka zetu za kupata mshiko bila malengo madhubuti katika mipango yetu. Utaona hata binti wa miaka 18 anazungumzia kujenga hekalu kama la Mama Mchungaji mmoja au kununua vx wakati hata shule hajamaliza. Sie enzi zetu tulikuwa tunawaza kusoma na kuolewa tu. Hivyo basi nadhani kukosekana kwa marubani wa Kitanzania si suala la uchumi tu na pengine ni kuendekeza njaa zetu. Wenzetu wakiomba kazi msukumo wao ni kuongeza masaaa pengine hata kwa mshahara kiduchu wakati wenzetu ni mshahara mkubwa kwanza, masuala ya masaa baadaye. Unasemaje kuhusu hili?

Asante kwa maoni yako..

Yangu bado yako kama mwazo.
Sijakurupuka kabisa kusema hivyo .

NA kumbuka si kila mtu anaruka ajili ya pesa.
Wengine wanafanya ajili ni hobby
 
Back
Top Bottom