Hapana si Persona kiivyo! Tuanzie huku kwanza..Nataka kujua kwanini marubani Tz wengi n wazungu?hata ktk kampuni ambazo ni local?kuna sababu yoyote ya kihistoria?
Swali lako zuri sana tena sana ..
Ntakupa jibu sababu mimi nalijua.
Ni vumilie kama ntaingia ndani sana..
Ukiwa kwenye aviation college "nje ya Africa"
kuna mambo mengi ambayo unatakiwa kufanya ili upate leseni yako
leseni ya kwanza inaitwa (PPL=Private Pilot Licence) kuapat hiyo leseni
unatakiwa kupasi mitihani sita na kufanya masaa kama hamsini/sitini hivi ya kuruka.
(Hayo masaa ni combination ya Duel hrs & Solo hrs)
Ukitaka kupata kazi ya kuruka na kulipwa lazima uwe na CPL licence.
(CPL= Commercial Pilot Licence) na kupata hiyo licence unatakiwa kupasi mitihani
mingine sita pamaja na masaa "minimum of 200 hrs" to be more realistic masaa 250 hivi.
sasa ngoja nijibu swali lako kwa maaelezo kidogo niliyotoa hapo juu.
Nchi za nje haupati kazi ukiwa na masaa 250.
1.sababu moja wapo ni kwamba huna experience ya kutosha.
2. Masaa machache sana.
3.Na sababu nyingine ni kwamba hawana vitu kama "Bush flying"
ambavyo ni kitu ambacho sisi waafrica tumebarikiwa nacho .
Ndip maana marubani wengi wanakimbilia Australia na Africa kujenga masasa.
Ukifikisha masaa 1000. una chance kubwa ya kupata kazi makwao .Ndio maaana unawaona
wengi sana . wako hapo kujenga masaa na kutimua wakisha yapata.
kusema hivyo kuna wengine wanakuwa ma Instructor ili kujenga masaa yao .
Lakini wengi wako Africa.. Tena sio Africa yote nchi mbili zinazosifika sana kwa hili ni
"Botswana na TAnzania"
Nadhani nimekujibu . samahani kwa mlolongo mrefu .