Lavit
JF-Expert Member
- May 16, 2011
- 13,152
- 27,144
sasa si uivunje muda huu? kwanini unasubiri asubuhi?,
Hawa majamaa ni wahuni sana hawa yaani nimejiunga GB 10 ili nipakue vitu vangu chaajabu network ipo slow kama kinyonga.
Kesho asubuhi aflajiri na mapema naivunjavunja laini yao kwa meno yangu.
Uzi tayari.
TTCL