Huduma mbovu za Mtandao wa TTCL: Malalamiko ya wananchi

Nasoma Comment nikifurahia speed ya Internet ya TTCL 4G
Screenshot_20190815-220007.jpeg
 
bora wewe mi wamenifanyia ukatili hata ajali ya moro haioni ndani, eti wamebania upload alafu wameachia download. nashindwa kuupload video/audio/file lolote kwenye mtandao wowote ila kudownload na mengineyo iko fasta mamaqeee
 
Huyo kila kitu cha serikali kwake hakuna matatizo. Hata ukimwambia RTC hawa-operate siku hizi atakuambia yeye alifanya shopping kwao juzi na wana operate vizuri tu.
Haha punguza chuki na serikali mkuu!
 
Back
Top Bottom