JAY MTAALAM
JF-Expert Member
- Oct 5, 2014
- 1,594
- 1,384
Toa taarifa huduma kwa wateja
Vijijin ndo unakamata vizuriHuo Mtandao Ni Jijini Tu
Huko Vijijini Shida
Haha..Asipokula kwanza chips na maji ya uhai hatapata nguvu ya kuvunja lainiYaani kuvunja laini ya simu mpaka kesho? Wanaume wa Dar mnakwama wapi?
Mbona Ttcl kwangu iko fresh tafuta simu ya 4G utainjoyHawa majamaa ni wahuni sana hawa yaani nimejiunga GB 10 ili nipakue vitu vangu chaajabu network ipo slow kama kinyonga.
Kesho asubuhi aflajiri na mapema naivunjavunja laini yao kwa meno yangu.
Uzi tayari.
TTCL
Natumia kwenye PC mkuuNasoma Comment nikifurahia speed ya Internet ya TTCL 4GView attachment 1182352
*150*71#Jamani mim naomba menyu ya T- pesa
Hata mimi amenishangaza mno, maana TTCL ukigusa tu mambo yanakuja yenyewe. Haeleweki kabisa anataka nini huyu jamaa.Mi mwaka wa pili huu nipo hili chama la nyumbani bila shida, huyu bwana atakuwa ana ishu nyingine sio Ttcl
Hawa majamaa ni wahuni sana hawa yaani nimejiunga GB 10 ili nipakue vitu vangu chaajabu network ipo slow kama kinyonga.
Kesho asubuhi aflajiri na mapema naivunjavunja laini yao kwa meno yangu.
Uzi tayari.
TTCL
Watu hupenda kuongea vitu wasivyovijua mi nipo kijj ndani ndani voda haisomi kbsa ila baba lao ttcl naingia hadi YouTubeVijijin ndo unakamata vizuri
Ni kweli ttcl ni janga,si vijijini wala mjini kote ni tia maji tia majiHata mimi amenishangaza mno, maana TTCL ukigusa tu mambo yanakuja yenyewe. Haeleweki kabisa anataka nini huyu jamaa.
Mkuu TTCL wanashea Na TIGO maeneo ambayo TTCL haishiki ukiweka line ya TTCL inasoma TIGO.( sijui Kama maelezo yangu yameeleweka)Yaani laini nimeiweka kwenye simu ndogo inasoma TIGO badala ya TTCL
Utakuwa unaishi Posta wewe au Upanga
Haha punguza chuki na serikali mkuu!Huyo kila kitu cha serikali kwake hakuna matatizo. Hata ukimwambia RTC hawa-operate siku hizi atakuambia yeye alifanya shopping kwao juzi na wana operate vizuri tu.
Anatafuta nyundoYaani kuvunja laini ya simu mpaka kesho? Wanaume wa Dar mnakwama wapi?