kajojo
JF-Expert Member
- Jun 9, 2012
- 2,946
- 5,487
Wenye iphone na tecno tutajuana leo humu humu
inabidi wengine tu crop kwanza ndo tu postWenye iphone na tecno tutajuana leo humu humu
inabidi wengine tu crop kwanza ndo tu postLive long TECNOAlhaji techno
Unataka kuona niniembu wekeni na gallery kabisa bc 😀😀😀😀
Tecno n8 simu stable sana. Mf. Yangu mm ni mlevi wa youtube naangal8a kila mda ninapokuwa sina kazi. Na inakaa na chaj siku mbili na kama hakuna utube inakaa siku tatu na zaidi. Tuambie wewe unachaji ya kwako baada ya masaa mangapiNaona tecno wereva zakutosha kabisa humu.![]()
![]()
![]()
Hahah! inajulikana tu mkuu, muonekano wa mafile![]()
![]()
![]()
inabidi wengine tu crop kwanza ndo tu post
Gallery hiyo hapo unakingine?embu wekeni na gallery kabisa bc 😀😀😀😀
Telegrwm ni app nzuri kuliko hata whatsap yaan ina features nyingi whatsap hawana na hawajafikiria kuwekaHii telegrm kwangu mimi mbona hakuna chochote ninachopata?
Hahaa unajua kukwepa sana ww
HahahHahaha... Ni sehem ya burudani kubet mkuu
Na ni best platform kushinda iyo WhatsApp, sema tu watu hawajastukia.Telegrwm ni app nzuri kuliko hata whatsap yaan ina features nyingi whatsap hawana na hawajafikiria kuweka
Angalia vizuri wapo.Cjaona MTU mwenye VPN ,mwenye search engine ya Duck Duck Go ,Hahahaha
Tecno whereva.
Haha nini sasa!! Si gallery iyo hapoo...! Au wewe na jamaa mnalenu jamboo!!??Hahaa unajua kukwepa sana ww