Mzigua90
JF-Expert Member
- Sep 23, 2014
- 38,401
- 88,857
Ilibidi nitoe picha yangu kwanza ndo nitume. Inataka ujasiri maana hata kuziba sura nilishindwa [emoji23][emoji23]Nimeona mmoja tu ndo kathubutu kuweka screen ina picha yake[emoji23]
Ilibidi nitoe picha yangu kwanza ndo nitume. Inataka ujasiri maana hata kuziba sura nilishindwa [emoji23][emoji23]Nimeona mmoja tu ndo kathubutu kuweka screen ina picha yake[emoji23]
My best favorite smartphoneNaona tecno wereva zakutosha kabisa humu.[emoji2] [emoji2] [emoji2]
Kwanini watu wengi hamna app ya Facebook!!
Naona majority ni messenger tu 🙄
Ooh mimi nilideactivate ac kitambo, ivo natumia messenger tuMimi ipo ila sijaipiga screenshot(ilikuwa upande mwingine wa home screen)
Penda sana urembo wewe![]()
Labda inakua tu haijaonekana kwenye mpangilio wa apps,yang iiiiileeee
Mi sina naona siielewi tena![]()
Labda inakua tu haijaonekana kwenye mpangilio wa apps,yang iiiiileeee
We utakua Muslim safi kbs[emoji124] [emoji124]![]()
Mimi inaweza kupita hata mwezi mzima sijaifungua FB japo ipo na notifications napata kila sikuOoh mimi nilideactivate ac kitambo, ivo natumia messenger tu
[emoji12] [emoji12] [emoji12]Penda sana urembo wewe
Mim snapchat ndo siilew kabisa,yaan ilishanishindagaMi sina naona siielewi tena
Vizuri sana swahibaMy best favorite smartphone
Pamoja sana mkuuVizuri sana swahiba
Mzee wa mamuvi nini[emoji2]
Weka tukuone.Nataka kupost yangu ila ina sura yangu halafu nashindwa kuitoa.
Alhaji techno