Muzine
JF-Expert Member
- May 4, 2017
- 32,366
- 60,480
Aisee kwahiyo wewe ulikuwa unaangalia picha za watu tu auSasa wewe utawekaje picha za vishawishi ili hali humu unajua kuna jinsia tofauti
Aisee kwahiyo wewe ulikuwa unaangalia picha za watu tu auSasa wewe utawekaje picha za vishawishi ili hali humu unajua kuna jinsia tofauti
Hahah mimi ata labda.. lkn picha za effect sizikubali..We mwanaume huwez elewa haya mkuu. Sababu skin tone ya mtu ukipiga na huawei mbaya mbaya zile na IPhone lazima zitokee tofauti sasa utaonaje hiyo skin tone?
Zilete mkuu nipo standbySubir nitakufurahisha wewe nipump tu na hizo picha unazozitaka
Anza na huyo mpost wanawake kingtblakhoc snapchat na insta anatumia kingtblakhochub.Mkuu lete majina tafadhari asee
Wakuu, poleni na majukumu. Leo naomba tushare jinsi home screen za simu zetu zinavoonekana. Mpe like utakae pendezwa na home screen yake.. Nawasilisha
Nyie ma handsome ndo mnapenda sisi sura ya beberu tunajifichafichaIvi kwann watu hawapendi kutambulika kwa sura zao
Bahati mbaya sana mara nyingi natumia picha za camera yangu ya Samsung. Ila watu wanaopiga na Iphone picha zao huwaHahah mimi ata labda.. lkn picha za effect sizikubali..
mtu akikusifia kwa picha ya effect tambua anakusnitch tuu
na hapo hamna effect ameweka zaidi ya camera tuNtaleta majina baadae sitaki kufungua snapchat muda huu nitanogewaAnza na huyo mpost wanawake kingtblakhoc snapchat na insta anatumia kingtblakhochub.
Hahaahaa. Haya ukimaliza usisahauNtaleta majina baadae sitaki kufungua snapchat muda huu nitanogewa
Bahati mbaya sana mara nyingi natumia picha za camera yangu ya Samsung. Ila watu wanaopiga na Iphone picha zao huwa![]()
![]()
![]()
![]()
na hapo hamna effect ameweka zaidi ya camera tu
Huyu ndio nani?
Hapo dukani au gheto?
Yupi huyo 😀Huyu ndio nani?
Swadakta, na wana Uzi waoNyie ma handsome ndo mnapenda sisi sura ya beberu tunajifichaficha
HahahahaHapo dukani au gheto?
Kumbe we ni Ke?
Aaah hapana mimi nina mkuyenge mkuuKumbe we ni Ke?