Muzine
JF-Expert Member
- May 4, 2017
- 32,366
- 60,480
Una hamu na ngumiii eeeeehAcha izooo
Una hamu na ngumiii eeeeehAcha izooo
Yupo insta pia. Nimemsahau jina nikikumbuka ntakutajia.Nani huyo nipe jina ili nidownload snap fasta
Kamera gani au ya sim gani kwanzaKuna kamera zingine hazitoagi picha zenye quality
Kama vip niambie jina au unakwama??Kwani nawe unapenda hyo icon ya zamani
Ho ho ho nangojeaYupo insta pia. Nimemsahau jina nikikumbuka ntakutajia.
Zile effects mkuuMhh ivi app za camera inaongezaga uzuri wa picha? Maana ninachojua camera ndio inayo amua uzuri wa picha. au zile effect?
Hahahahaaa.. ngoja niilete basiIlete hivyo hivyo tutaitoa wenyewe......
![]()
![]()
![]()
Kwa huo ulaini na umororo wako ngumi yako ni kama kitekenyeo tuu... so nipe nnahamu nayoUna hamu na ngumiii eeeeeh
Yaani una App ya Swahili bibble harafu kwa pembeni una app ya freemasson
Na huko kubet..!!!!????We utakua Muslim safi kbs
Bila shaka umemfollow yule mnaijeria anaepostigi wadada wako uchi
Huyo simjui bado ila wadada wenye balaa huku snapchat karibia wote ninao
Mwanangu akiwa likizo huwa na-hide snapchat asije kupofuka




maana atapofuka kweli. Maana nasikia Sanchoka anafanyaga mabalaa kweli huko. Wadada wengine wepi hao? Siingiagi huko mara nyingi ila kama kuna wakichaa niwe naingia niobe uchizi wa watuMi sipendi picha za effect kweli yani napenda sana kuona hadi ile skin tone ya mtu ndio najisikia raha..Zile effects mkuu
Nipe majina yao na mimi niwafollow mzeeHuyo simjui bado ila wadada wenye balaa huku snapchat karibia wote ninao
Mwanangu akiwa likizo huwa na-hide snapchat asije kupofuka
Mkuu lete majina tafadhari aseeHuyo simjui bado ila wadada wenye balaa huku snapchat karibia wote ninao
Mwanangu akiwa likizo huwa na-hide snapchat asije kupofuka
Ndio sanchoka?maana atapofuka kweli. Maana nasikia Sanchoka anafanyaga mabalaa kweli huko. Wadada wengine wepi hao? Siingiagi huko mara nyingi ila kama kuna wakichaa niwe naingia niobe uchizi wa watu
Subir nitakufurahisha wewe nipump tu na hizo picha unazozitakaKwa huo ulaini na umororo wako ngumi yako ni kama kitekenyeo tuu... so nipe nnahamu nayo
We mwanaume huwez elewa haya mkuu. Sababu skin tone ya mtu ukipiga na huawei mbaya mbaya zile na IPhone lazima zitokee tofauti sasa utaonaje hiyo skin tone?Mi sipendi picha za effect kweli yani napenda sana kuona hadi ile skin tone ya mtu ndio najisikia raha..
Mbona quran ujaisema au uijui?Yaani una App ya Swahili bibble harafu kwa pembeni una app ya freemasson