Ben Saanane
JF-Expert Member
- Jan 18, 2007
- 14,581
- 18,124
Hasa wewe Shy!
Toaneni macho weeee...lakini mtu asimguse Naima
Stop flattering yourself, again nenda kanywe Kool-aid hasira zikizidi pasua monitor yako.usinizoee!!!koma!!nirudie??koma!!!!
Ok me and my Balla tutajitafutia jina pale tutakapo kubaliana...(heart race puh puh puh, where is Balla jamani...!)
usinizoee!!!koma!!nirudie??koma!!!!
Haya baba, hivi dada Naima(Moyo kudunda) yuko wapi siku hizi, mbona sana... ulimficha nini. I miss her alot. Msalimie mwaya.
usinizoee!!!koma!!nirudie??koma!!!!
Vuta subira kamdada...najua atarudi tuu!...hahaah guym inawezekana...maana alisema anataka kuwa physically fit for you!...
Yeah,nimerudi,hope subira imevuta heri
Balantanda ushindwe wewe tu sasa...
Halafu Cupcake...itabidi na huyu mtu wetu (u know her well) naye tumtafutie wa kwake...maana asije akatuharibia u cupcake wetu
Nyani huyu ndugu yako so called Midea freakin Madea
anamatatizo gani hivi?
Hawezi kuacha wenzake wale starehe? Matusi meeengi, sijui mtu wa wapi huyu...
h yes subira imevuta heri..naona bado yupo yupo!...haya fanya vitu vyako!...
Nyani huyu ndugu yako so called Midea freakin Madea
anamatatizo gani hivi?
Hawezi kuacha wenzake wale starehe? Matusi meeengi, sijui mtu wa wapi huyu...
Haya my dear ngoja nimsubirie my cupcake Balla! Duh maana jina lenyewe linanikosha roho. Haya sasa ngoja nimsubirie mzee mzima
Wasee,
Midea ni typical dizaini za wachangiaji wa kwenye utamu, hivyo basi naomba mumvumilie au waheshimiwa wakina nanilino wamfanyie kweli!!!
Kwani Midea tatizo lako ni nini hasa? ongea na mimi basi mami.....nina magic touch, nikikugusa tu matatizo yako yote yatakwisha!! Kuna kitu wanaita PM hapa, HOLLA! LOL....uwe na meno lakini!