Icadon
JF-Expert Member
- Mar 21, 2007
- 3,581
- 184
Mkuu, umeshaniita ngosha halafu unasema sijiamini...?! kwa home haya ni maneno mawili yasiyo co-exist!!
unajua usipowakemea hawa vijana wa siku hizi haraka na mara moja wanapoanza kebehi zao wanaona wamepatiwa blank cheque ya lolote lile..
Haya, naona mambo ya cheza kwa step usijemgusa wa mwenzio.
Kelly,mbona Penny simuoni leo??,nimejaribu kumtafuta viwanja vyote humu jamvini lakini wapi
Naona mambo ya matchmaker, itabidi tumuombe invisible awaanzishie jukwa lenu sasa.-Don't mind me I'm just thinking out loud.