Da Womanizer
JF-Expert Member
- May 24, 2010
- 1,577
- 148
haaa bana mbona unataka kunibania maarifa bana. Wewe si ndiye uliyesema ku major hapo juu??!!!! Elimu kupeana bana. Halafu mbona unazidi kunichanganya maana umesema "darasa la kumi nne wewe hulijui?" kwani ni linini hilo sababu mwanzoni mi nilidhani ni mahali fulani hivi. :behindsofa:Ku major hata sijui maana yake....ila darasa la kumi na nne wewe hulijui?