House girl huyu nimfanyajee...?

House girl huyu nimfanyajee...?

Ushauri Umepata, Kilichobaki Ni Wewe, Kuchepuka Au Kubaki Njia Kuu
 
Ndoa na iheshimiwe na watu wote, baba heshimu ndoa yako baki njia kuu
 
Duh!! At 18 katakuwa kanvutia sana mkuu! I can imagine the twin peaks! Unasubiri nini sasa? Maana ukijifanya kuumjulisha maza haus imekula kwako, kamalize jikaushe...

Na uje hapa useme ilivyokuwa...

Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
 
huyo si ni sawa na mwanao?

matukio kama haya ndo huwa yananifanya niamue kua kwangu hakutakua na house girl...
 
Mkuu acha mambo ya ajabu, umwambie mkeo ili iweje sasa!??, umfukuze kwa sababu gani!??
Acha kujivunga, hebu kula, mle huyo mtoto, tena mle vizuri hadi awe satisfied.
mkuu hebu mwambie ukweli aache mambo ya ajab mtoto wa kwako wa mwenzio mkubwa mwenzio kale hako kamama sio katoto kana kula kanashiba sa haja zake atatimiziwa na nami wakati jamaa ndo anakalea
 
Mleta mada hebu weka taarifa sawa unatuchanganya:

1. Wakati umeona taa ya chumba cha dada wa kazi inawaka, mkeo alikuwepo? Na kama alikuwepo kwanini hukuona busara kumuona kwanza mkeo ili yeye ndiyo ajaribu kufuatilia suala hilo.

Kama mkeo alikuwepo napata picha kwamba hapo nyumbani kwenu hakuna utaratibu wa ufuatiliaji wa vitu sensitive kama hivyo. Je kama huyo beki tatu angeamua kupiga kelele ya kubakwa unadhani mkeo na watu wengine tungekuelewa???

2. Kama ulivyoseam awali labda alikuwa jikoni, kwanini hukuanzia jikoni kwanza kuona kama alikuwa huko?

Hata wewe unatutia mashaka na tabia yako hiyo, hata sisi tunaishi na wasaidizi tena zaidi ya mmoja utaratibu uliopo ni kuanza na Mkeo kwanza mweleze tatizo ukiloliona kuhusu wao halafu yeye ndiyo afuatilie. Vinginevyo kwa utaratibu wako subiri matiokeo yake utayaona si muda mrefu.
 
mimi nina miaka 22 nadhani huyo ni lika langu ni pm brother ili nimuliwaze kwa ukarim
 
tena afanye haraka maana hawa wasichana nao ni wamejipindia balaa......anaweza hata weka zengwe la kumtega hadi mke ashtuke na ikawa majanga kwa ndoa....na kama kaka ukiona hakuelewi anazidi ujinga wake, muumbue muweke mtu kati na mkeo akiwepo ili akome! mi nakasirika sana watu wasioheshimu ndoa za watu aaaggghhrrrrr! adabu hakuna aisee!!!
Tafuta cku nzuri umwambie uliingia kule kwa lengo la kuzima taa na c kumfuata yeye so aache kukutega na taa pia awe anazima otherwise utamfukuzs kazi. Hapo utakuwa umeua ndege wawili kwa mpigo.
 
Yaani katika wanaume wewe ni mwanaume wa kweli, maana wengine wangekuja hapa kuomba ushauri wakati washaharibu, huyo timueni tu tafuteni mwingine maana ata ukimueleza wife ndio kabisaaa atambalasa time hiyohiyo, aende akapeleke uharaka wake mbele ya safari
 
Baba anayeingia chumba cha binti mkubwa ili azime taa....

Mmmmh

Bado hujanishawishi kukushauri
 
Ulifuata nn chumba cha hausi girl? Hata kama hakijafungwa mlango sio kazi yako kukikagua,,,,as long as she still living in the same house,labda kama angekuwa amesafiri,,,cheers pole sana kwa mfadhaiko anyway
 
Big mistake you did ni kuingia chumbani kwa chumba cha mabinti "MENS NEVER ENTER IN THE GIRLS ROOM ONLY YOUR WIFE DO".kama hiyo ilikua tabia yako ukadhani ni sawa iache mara moja kila siku utakuta majanga that's one, two Mabeki tatu bwana wanalaana ukianza mmoja bac kila atakaekuja utamtaka uumle inakua ni phsycological problel waulize woote vijana waliokanya ma beki tatu tabu waliyopata, thirdly it is a challenge kwa mwanaume rijali kupigana na hiyo hali ni mtihani what I cn say is LISTEN TO YOUR HEART ila WATCH OUT
 
mkuu hebu mwambie ukweli aache mambo ya ajab mtoto wa kwako wa mwenzio mkubwa mwenzio kale hako kamama sio katoto kana kula kanashiba sa haja zake atatimiziwa na nami wakati jamaa ndo anakalea
Mkuu Excel amesema ukweli, vinakuwaga vijanja hivyo usivione vinaoshaosha vyombo ukavidharau.
 
Back
Top Bottom