Ni kweli kabisa kuna mambo mengi ya msingi ambayo kama Raisi wananchi walitegemea ayaongelee na ndo maana walikuwa wanasubiri kwa hamu hotuba yake lakini kilichojitokeza ni kitu cha kukatisha tamaa, hakuongelea maswala muhimu anaongelea mambo ya nje wakati ya ndani yanawaka moto.
Ni vizuri kama hana cha kuongea na wananchi akaacha mara moja kuongea vitu ambavyo wananchi hawavitegemei kuvisikia.
Ni vizuri kama hana cha kuongea na wananchi akaacha mara moja kuongea vitu ambavyo wananchi hawavitegemei kuvisikia.