Hotuba za Rais kila mwezi

Hotuba za Rais kila mwezi

Je unaridhika na hotuba za Rais Kikwete?

  • Ndio

    Votes: 13 15.5%
  • Hapana

    Votes: 71 84.5%
  • SIJUI

    Votes: 0 0.0%
  • Sina jinsi

    Votes: 1 1.2%

  • Total voters
    84
  • Poll closed .
Mmkjj
Hao jamaa Inaonekana bado wanauzunguuka ule mlima na inaonyesha hata mungu amewakasirika hakuna wa kuwashitua tufanyeje?au tuuondoe huo mlima?
 
bado mpo? "
911, CottonEyeJoe, Ether, Halisi+, Idimi, Invincible, Jibaba Bonge, Jobjob2, Kaka K, Kamundu, Katibu Tarafa, Kipunguni, Komavu, macinkus, Mama, Maskini Mimi, Mkuu, Mlalahoi, Mtanzania, njilembera, Nsololi, Nziku, Pasco, Peasant, Phillemon Mikael, Pipiro, Pundit, Shakazulu, Wakunyuti, Zion Train
 
Tatizo ni kuwa wanataka TBC lazima nayo irushe; tv nyingine na radio ziko tayari lakini kwa vile TBC ndiyo yao wenyewe na inawaumiza vichwa hawataki kwenda na TV nyingine na radio nyingine...
 
Tupo. Sipati kuamini tumepigwa bao lingine la kisigino. Ama kweli sasa watu wanajifanyia wanavyotaka wakiamini hakuna litakalotokea. Ana uhakika mia tano kwa mia kuwa hatuna jeuri ya kumfanya lolote. Ni sawa na kumsukuma mlevi kilema. Sisi wadanganyika tumegeuka walevi vilema.
 
JK atakuwa hewani saa nne na nusu saa za East Africa .Nina wasi wasi na hotuba hii isije ikawa kama ya Bungeni ambayo hakuacha hata copy na Bunge limeshindwa kujadili hotuba yake kwa kuwa alichomoka nayo .
 
SASA kumbe hata hajaenda kwa DPP, halafu eti kuna wanaosema wataweka kambi mahakama ya Kisutu!!! Hiyo mahakama ya Kisutu waachieni kina Masalakulangwa na Baba Kanumba na si kina Patel na wenzake.
 
Ukisoma hotuba yenyewe utaona kuwa uchunguzi mpya utaanza wa Polisi na Takukuru kuhusu hayo makampuni 9 yaliyobakia. Kwani ili mwendesha mashtaka afanye kazi yake (kwa mujibu wa Rais) anahitaji ushahidi toka Polisi na hadi hivi sasa Polisi hawajafanya uchunguzi wa kipolisi kuona uhalifu uliofanyika..

ninachotaka kusema ni kuwa uchunguzi wa EPA unaendelea, yale makampuni yaliyorudishwa yamesamehewa...
 
Hatuba kuonyeshwa saa nne+ usiku maana yake nini? Amewahi kufanya hivyo kabla, au ndio JK/ikulu ni unsystematic.
 
Kaanza na IOC, serikali bado haijaamua. Tuipe muda zaidi kabla ya kufikia maamuzi. Saa hizi yuko hoja pili. Waalimu.
 
JK asema marufuku kabisa wananchi kujadili OIC .Wananchi acheni kabisa na Mambo ya nje wafanye mambo yao .\

Walimu kama kawaida aleta zile zile .

Sasa anaongelea uchumi wa Dunia na si Uchumi wa Tanzania .Kazi ni kubwa .
 
Kaanza na IOC, serikali bado haijaamua. Tuipe muda zaidi kabla ya kufikia maamuzi. Saa hizi yuko hoja pili. Waalimu.

Amenawa mikono, malimbikizo sio ya awamu yake ila ameshalipa bilioni 7 na zilizobaki zote atalipa,
Sasa yuko kwenye suala la mtikisiko wa kiuchumi. Tanzania ijiandae kwa lolote,

Sasa anazungumzia maalbino.
 
Back
Top Bottom