Hotuba za Rais kila mwezi

Hotuba za Rais kila mwezi

Je unaridhika na hotuba za Rais Kikwete?

  • Ndio

    Votes: 13 15.5%
  • Hapana

    Votes: 71 84.5%
  • SIJUI

    Votes: 0 0.0%
  • Sina jinsi

    Votes: 1 1.2%

  • Total voters
    84
  • Poll closed .
Pundit,

Naona unafikiri hotuba za wanasiasa ni sawa na academic papers, they are not. You are spending too much time looking for trivial mistakes instead of looking for the intended messages.

Ukiangalia hotuba nzuri duniani ni zile ambazo wahusika walikuwa hawasomi, maneno yalikuwa yanatoka moyoni with passion. Huenda mpangilio ulikuwa unakuwa sio mzuri sana lakini messages zilizokuwa zinatolewa zilikuwa zina make sense. Angalia baadhi ya speeches za Mwalimu au hata watu kama Churchill na Hitler

Siku hizi shauri ya kuogopa kukosolewa na kukosea, kila kitu kinaandikwa na kuchambuliwa na wajuzi, matokeo yake watu wanaongea vitu ambavyo hawaviamini, passion inapotea na speeches kuwa boring. Mimi nikiona mwanasiasa anasoma speech, huwa nalala baada ya dakika tano.

Hotuba sio lazima ziwe sawa na academic papers.Lakini rais kuainisha kuwa kuna mambo matatu anayotaka kuongelea, halafu kuja kuongelea mawili ina maana.

1.Hajui kuhesabu (I doubt that)
2.Hajui/ameshindwa/anaogopa kuli present hilo la tatu

Kikwete ame set a new low in Tanzanian politricks.Nilifikiri no one could go lower than Mwinyi but his ability to break records amazes even people who had a very low opinion of him to begin with like me.I knew he was going to be a bad president, I just didn't know he was gonna be so dumb to the point of not being able to put together a speech.
 
Kikwete ame set a new low in Tanzanian politricks.Nilifikiri no one could go lower than Mwinyi but his ability to break records amazes even people who had a very low opinion of him to begin with like me.I knew he was going to be a bad president, I just didn't know he was gonna be so dumb to the point of not being able to put together a speech.


Nilisema zamani(some of my posts in here) JK ni raisi kilaza. Mwinyi pia alikuwa raisi kilaza. Tofauti ya hao wawili ni kwamba mzee wetu Mwinyi ni mwadilifu. JK ni mtoto wa mjini, akitumia mbinu za ulaghai, ujanja ujanja wa mjini, kutufunga kanyaboya bora liende. Na huyu tunae tu kama raisi wetu mpaka 2015.
 
Nilisema zamani(some of my posts in here) JK ni raisi kilaza. Mwinyi pia alikuwa raisi kilaza. Tofauti ya hao wawili ni kwamba mzee wetu Mwinyi ni mwadilifu. JK ni mtoto wa mjini, akitumia mbinu za ulaghai, ujanja ujanja wa mjini, kutufunga kanyaboya bora liende. Na huyu tunae tu kama raisi wetu mpaka 2015.

Mkuu Invicible,

Mwinyi alikuwa mwadilifu? Au nimekusoma vibaya? Kama mwadilifu
mwambieni aache kuunguza mamilioni ya Watanzania kuja kufanya check up
London hata kwa magonjwa ambayo anaweza kufanya Dar bila matatizo. Katika hao viongozi wetu kwa kweli sioni kabisa mwadilifu. Waandilifu wameondoka na sasa wanasota shauri ya uadilifu wao, huku hawa majizi wanacheka na kujiona wao ndio wajanja.

Tukija kwa JK, mnaweza kumwona hana uwezo lakini basi mwenzenu ana bahati zake. Hilo deal la Kenya tayari linampandisha chati. Kuja kwa Bush na kukaa siku nne ni kitu kingine ambacho huwezi kuwaambia watu wasio Watanzania kwamba jamaa hafai, kumbuka dunia nzima, inaombea safari kama hizo za Bush.

JK ni mtoto wa mjini na labda uwezo wake sio mkubwa sana lakini nani alikuambia rais inafaa awe mkali wa vitu kama profesa? Watu wanachoangalia ni delivery, pamoja na ukilaza wa JK, anaweza kudeliver kuliko marais waliomtangulia.

Mimi sio mpenzi wa JK lakini naanza kuona ukweli kwamba jamaa sio kilaza kama watu wanavyomsema. Anaweza asiwe katika the brightest lakini pia sio
katika wajinga.

Tatizo la Watanzania tulio wengi ni kwamba tunajifanya tunajua sana lakini
ukimwuliza mtu umewahi kufanya nini cha zaidi, majibu yanaanza kuwa haba. Tunajua kweli kulaumu lakini tukipewa hata nafasi ndogo unakuta tuna abuse kishenzi.

Nawakumbuka hao mawziri wetu wengi wa sasa enzi hizo walivyokuwa wanalaumu kule Tanzanet, kawaangalie sasa, wanashindwa hata ku deliver vitu rahisi mno.

Ndio maana mimi nilikuwa nampenda Mrema, alikuwa ana deliver. Potelea mbali apige nji yangu kibao, lakini angalau akisema kitu kweli kilikuwa kinafanyika.
 
Mkuu Invicible,

Watu wanachoangalia ni delivery, pamoja na ukilaza wa JK, anaweza kudeliver kuliko marais waliomtangulia.

Hii mkuu nilikuwa siijui, kumbe jamaa ame-deliver kuliko marais waliomtangulia, tunamshukuru kwa hilo kwa kweli, duh!
 
Mtanzania
Kuhusu uadilifu wa Mwinyi, ni relatively better compared to JK; and far ahead of fisadi Che Nkapa; but well below that of Nyerere.

Delivery? Kama JK ame-deliver, basi ni ya very very short term goals. Ukiangalia medium au long term plans and objectives, JK anaiandaa Tanzania kuwa taifa goigoi, ombaomba na la wasanii wakubwa. Itafikia mahali tutawashukuru wafadhili kwa kutupatia magunia ya chumvi.
 
Mimi naona tunasahau jambo moja muhimu kuwa mtegemea cha nduguye hufa maskini.

Hapa naona JK anazidi kupandikiza fikra za utegemezi miongoni mwa wananchi. Ni kitu cha hatari sana kwa mustakabali wa maendelea yetu. Believe or not, hatuwezi kufika mbali kwa kumtegemea huyo Bush.

Sasa hivi US kuna recession. Chama chochote kitakachoshinda katika uchaguzi unaokuja kinaweza kabisa kusema kwamba kutokana na hali ngumu ya uchumi inayoikabili Marekani misaada na mikopo yote kwa nchi za nje imesimamishwa mpaka hapo hali ya uchumi itakapokuwa nzuri. Hizo $700 milioni zitabaki kuwa hadithi, na Marekani kwa hili la kutotimiza ahadi zao za misaada na mikopo wako mstari wa mbele.
 
Hii mkuu nilikuwa siijui, kumbe jamaa ame-deliver kuliko marais waliomtangulia, tunamshukuru kwa hilo kwa kweli, duh!

What has he deliver so far out of his campaign promises maisha bora kwa kila Mtanzania, ari mpya, nguvu mpya na kasi mpya na mabilioni ya Kikwete? Could you be more specific? please!
 
Hii mkuu nilikuwa siijui, kumbe jamaa ame-deliver kuliko marais waliomtangulia, tunamshukuru kwa hilo kwa kweli, duh!

Kwa kweli nimepigwa na Butwaa, Yaani kuna watu tayari mpaka sasa wanathubutu kusema Muungwana ka-deliver sana. Kama kuna Mtanzania anafikiria hivyo hii nchi haitakaa iendelee milele ianatakiwa kuombewa sana.

Na kama tumeisha kubali kuwa hiyo ndo kasi aliyoisema basi hatuna haja hata ya kuendelea kujadili
 
Kindomaster kweli hapa ni pa kuaga kama watu wanadhani JK has delievered tayari .Mimi sijaona kabisa ial naona anaendeleza hadithi na ahadi za kampeni
 
Nafikiri hamjamuelewa Mtanzania kwenye hili la Delivery.

Katika vitu ambavo JK atavifanya kitaifa na Kimataifa ni kutamba kumleta Bush (sitting US president) na Muafaka wa Kenya. Those are deliveries ambazo yeye atazitambia na zitampa jina kubwa sana kuliko eti Ruksa (trade liberalization) au kulipwa kwa madeni na Mkapa. Zaidi atasema ameweza kuvifanya hivi katika miaka miwili ya kwanza ya uongozi kama Rais!

Kwa sisi wa ndani, hizo delivery za Bush na Muafaka Kenya, hazina nguvu ikiwa umasikini wetu haoundoki, serikali haina adabu na uhujumu unazidi.

Hivyo basi ni kujiuliza ni delivery ya namna gani na kwa vipimo gani!
 
Nafikiri hamjamuelewa Mtanzania kwenye hili la Delivery.

Katika vitu ambavo JK atavifanya kitaifa na Kimataifa ni kutamba kumleta Bush (sitting US president) na Muafaka wa Kenya. Those are deliveries ambazo yeye atazitambia na zitampa jina kubwa sana kuliko eti Ruksa (trade liberalization) au kulipwa kwa madeni na Mkapa. Zaidi atasema ameweza kuvifanya hivi katika miaka miwili ya kwanza ya uongozi kama Rais!

Kwa sisi wa ndani, hizo delivery za Bush na Muafaka Kenya, hazina nguvu ikiwa umasikini wetu haoundoki, serikali haina adabu na uhujumu unazidi.

Hivyo basi ni kujiuliza ni delivery ya namna gani na kwa vipimo gani!

Muafaka wa Kenya JK did nothing labda la kukaa na Bush na kuchekacheka naye
 
Wakati Kikwete anaingia madarakani matatizo makubwa aliyokuwa anatakiwa kuyashughulikia siyo Migogoro ya Kenya na ujio wa Bush.

Kulikuwa na suala alilokuwa analililia sana nalo ni kuhakikisha angalau watanzania wa kawaida wanapata mlo angalau mmoja kwa siku.

Sasa sijui kama ameisha jiuliza baada ya MAFISADI kupandisha gharama za maisha mpaka kufikia hata huo mlo kuwa ndoto.

Labda ambacho sijakielewa hivi bush asingelikuja bongo huo msaada usingepatikana?
 
Hii mkuu nilikuwa siijui, kumbe jamaa ame-deliver kuliko marais waliomtangulia, tunamshukuru kwa hilo kwa kweli, duh!

Kitila,

Niliandika "anaweza kudeliver" nikiwa na maana the jury is still out. Anaweza kuwa ana struggle mpaka sasa lakini kuna uwezekano akafanikiwa kwenye baadhi ya mambo labda kuliko hao walimtangulia na mifano ni hilo la Kenya na kumleta Bush.

Huenda mpaka sasa haya mambo hayatusaidii kama taifa maana hayaongezi pato wala shibe ya Mtanzania lakini pia yanaweza kuwa nguzo kubwa ya kuiletea baraka TZ siku za mbele through employment na investments zingine. Message kubwa hapo ni kwamba Tanzania ni democratic and stable, vitu viwili ambavyo ni muhimu mno kwa investors wa maana.

Sikuwa na maana JK amedeliver maana mambo mengi aliyosema atafanya, hajafanikiwa kuyafanya mpaka sasa.
 
1. Huenda mpaka sasa haya mambo hayatusaidii kama taifa maana hayaongezi pato wala shibe ya Mtanzania lakini pia yanaweza kuwa nguzo kubwa ya kuiletea baraka TZ siku za mbele through employment na investments zingine.

2. Message kubwa hapo ni kwamba Tanzania ni democratic and stable, vitu viwili ambavyo ni muhimu mno kwa investors wa maana.

3. Sikuwa na maana JK amedeliver maana mambo mengi aliyosema atafanya, hajafanikiwa kuyafanya mpaka sasa.

Mkuu Mtanzania,

Katika Suala la kwanza labda la Bush, lakini pia sitegemei sana kama unakumbuka wakati wa ujio wa Bush baadhi ya watu waliandamana na message ilikuwa Tanzania siyo masikini wa kutegemea watu kama bush, wakiwa na maana mtegemea cha nduguye ufa masikini. Walikuwa wanataka resources mobilazation radha than kutegemea neema usiyokuwa na uhakika nayo.

Katika Suala la Demokrasia Tanzania inajulikana kuwa stable labda tuombe tu tuendelee kuwa hivyo. Katika suala la kukomboa Nchi nafikiri unakumbuka jinsi Tanzania ilivyopigania uhuru wa nchi lukuki, hata zikiwemo South Africa. Lakini kwa sababu hatukuwa na strategy nchi hizo usishangae baadhi hata zikathubutu kututawala hapo baadaye/kushikilia uchumi wa nchi yetu.

La tatu Kwa maono yangu naona kama JK ndo anaanza kuwa rais baada ya kuachana na genge aliloingia nalo madarakani, kwa hiyo kudeliver bado ni ndoto bado hajawa na comparison.
 
Muafaka wa Kenya JK did nothing labda la kukaa na Bush na kuchekacheka naye

Mkuu,

Naamini dunia na watu wengi wa dunia akiwemo Annan, wanaamini JK kasaidia.

Siasa za dunia ni complicated zaidi ya watu tunavyotaka kuzichambua hapa. Hatuhitaji kuwa vibaraka wa mataifa makubwa lakini pia ni muhimu kukaa pamoja na wahusika wakubwa wa uchumi wa dunia.

Kuna watu wamevaa miwani ya mbao na hata kutokee uzuri kiasi gani, hawawezi kuuona so long huo uzuri umefanywa na wapinzania wao au maadui wao.

Mimi naamini kumleta Bush na suluhu ya Kenya ni mafanikio makubwa kwa JK na Tanzania. Ila tu haitoshi kukaa chini na kuanza kupongezana, badala yake tutumie hiyo nafasi kuileta Tanzania maendeleo zaidi.

Image ya a democratic and stable Tanzania ni muhimu sana kwenye mafanikio ya baadaye ya Tanzania.
 
Mkuu Mtanzania,

Katika Suala la kwanza labda la Bush, lakini pia sitegemei sana kama unakumbuka wakati wa ujio wa Bush baadhi ya watu waliandamana na message ilikuwa Tanzania siyo masikini wa kutegemea watu kama bush, wakiwa na maana mtegemea cha nduguye ufa masikini. Walikuwa wanataka resources mobilazation radha than kutegemea neema usiyokuwa na uhakika nayo.

Katika Suala la Demokrasia Tanzania inajulikana kuwa stable labda tuombe tu tuendelee kuwa hivyo. Katika suala la kukomboa Nchi nafikiri unakumbuka jinsi Tanzania ilivyopigania uhuru wa nchi lukuki, hata zikiwemo South Africa. Lakini kwa sababu hatukuwa na strategy nchi hizo usishangae baadhi hata zikathubutu kututawala hapo baadaye/kushikilia uchumi wa nchi yetu.

La tatu Kwa maono yangu naona kama JK ndo anaanza kuwa rais baada ya kuachana na genge aliloingia nalo madarakani, kwa hiyo kudeliver bado ni ndoto bado hajawa na comparison.

Kakindomaster,

Nani alikuwa anajua Tanzania ni stable? What matters here is the perception of the world and NOT our perception (Tanzanians perception). Ukizunguka
huku duniani, wanaojua Tanzania ni stable ni wachache mno. Ilikuwa ukisema Kenya, watu wanaitikia. Nina uhakika ukiwauliza watu wa Europe au North America, nani ali contribute kuleta uhuru wa SA na nchi zingine, Tanzania haitatajwa hata mara moja.

Tatizo la watu wengi, kila ikitajwa USA mnafikiria misaada. Hivi USA na nchi za West wanavyoanza kujikomba kwa CHINA, je wanataka misaada ya China? Hii dunia ya utandawazi, muhimu ni uhusiano wa kibiashara. Safari moja ya Bush ikitumiwa vizuri inaweza kuiletea Tanzania biashara kuliko lile tangazo kwenye CNN.

Mfano mzuri kwasasa kama chombo chochote cha dunia kinataka kufungua ofisi East Africa, huenda Dar Es Salaam ni candidate namba moja, huko nyuma ilikuwa Nairobi.
 
Kakindomaster,

Nani alikuwa anajua Tanzania ni stable? What matters here is the perception of the world and NOT our perception (Tanzanians perception). Ukizunguka
huku duniani, wanaojua Tanzania ni stable ni wachache mno. Ilikuwa ukisema Kenya, watu wanaitikia. Nina uhakika ukiwauliza watu wa Europe au North America, nani ali contribute kuleta uhuru wa SA na nchi zingine, Tanzania haitatajwa hata mara moja.

Tatizo la watu wengi, kila ikitajwa USA mnafikiria misaada. Hivi USA na nchi za West wanavyoanza kujikomba kwa CHINA, je wanataka misaada ya China? Hii dunia ya utandawazi, muhimu ni uhusiano wa kibiashara. Safari moja ya Bush ikitumiwa vizuri inaweza kuiletea Tanzania biashara kuliko lile tangazo kwenye CNN.

Mfano mzuri kwasasa kama chombo chochote cha dunia kinataka kufungua ofisi East Africa, huenda Dar Es Salaam ni candidate namba moja, huko nyuma ilikuwa Nairobi.

Na hcho ndicho mimi nakijua. Watanzania tunafikiri kila mtu anaifahamu nchi yetu. Ukweli wa mambo, pamoja na vivutio vya utalii badi nchi yetu haijatangazwa sana.

Na vitu vingine vya kutangaza nchi ni vidogo tu. Ukiwa Ulaya wakati wa Summer kuna mashindano mbalimbali ya riadha na watu wengi wanafuatia mashindano hayo kupitia TV. Hivyo wakimbiaji wa Kenya na Ethiopia wanatangaza nchi yao vizuri kuliko siasa zetu za Ukombozi ambazo zilikuwa na manufaa.
 
Na hcho ndicho mimi nakijua. Watanzania tunafikiri kila mtu anaifahamu nchi yetu. Ukweli wa mambo, pamoja na vivutio vya utalii badi nchi yetu haijatangazwa sana.

Na vitu vingine vya kutangaza nchi ni vidogo tu. Ukiwa Ulaya wakati wa Summer kuna mashindano mbalimbali ya riadha na watu wengi wanafuatia mashindano hayo kupitia TV. Hivyo wakimbiaji wa Kenya na Ethiopia wanatangaza nchi yao vizuri kuliko siasa zetu za Ukombozi ambazo zilikuwa na manufaa.


Sasa sirikali mbali na Bush ina mpango wa kuwaleta hao wakimbiaji kidogo Tanzania itajwe na kuwaona wakiona kwenye luninga ?
 
Katika uchambuzi wangu wa hotuba ya JK, nimekiona kipengele hiki ambacho kidogo kimenipa taabu sana kukielewa.

Mheshimiwa Jk Alisema:- Rais Bush alikuja kuwathibitishia wananchi wa Marekani kuwa sera yao ya misaada Afrika ni sahihi na kwamba mafanikio yaliyotarajiwa yanapatikana. Kwa ajili hiyo, aliamua kukaa hapa kwetu kwa siku nyingi kwa sababu, katika misaada yao ya kupambana na malaria na UKIMWI barani Afrika, hapa Tanzania kumekuwepo na mafanikio ya kutolewa mfano.

Nachotaka kufahamu hiyo sera mwanzoni tulipewa kiasi gani kiasi kwamba aje kwa siku tatu kuonyesha mafanikio?
Je, ni mafanikio yapi yamepatikana ktk kuondoa maradhi haya HIV na hasa Maleria toka mradi huu umeanzishwa. Nilichokiona zaidi hapa ni rais wetu kuwashukuru baadhi ya watu kwa maandalizi mazuri ya kumpokea Bush... kazi ambayo nchi za Kiafrika ni mahodari sana ktk maandalizi ya kumfumba mtu ukweli na hali halisi. Ni katika mtililiko wa mazingaombwe haya Hospital kama Amana zilipigwa soap soap na huduma kuboreshwa ktk siku hizo tatu, hivyo hivyo sehemu zote walizotembelea kuna kila dalili kuwa watu waliandandaliwa kuonyesha mafanikio badala ya hali halisi.

Jambo jingine ningependa kuelewa nalo ni kwamba hivi kama sio ziara ya Bush na ahadi alizotoa ina maana sisi wenyewe hatukuwa na mpango wala hesabu za kutengeneza barabara, umeme wala viwanja vyetu isipokuwa kwa msaada wa Millenium?..

Nje ya misaada hii ya Millenium ni kiasi gani cha fedha za misaada toka nchi nyinginezo ambazo zimeweza jenga miundombinu yetu na kwa gharama inayokubalika kimahesabu. Kwa sababu tusiwe tunazungumzia figures yaani dollar millioni 700 macho yakatutoka kwa uroho, kumbe wazee wanavuta karibu nusu yake. Tukazungumzia matukio ya jirani zetu, Ujio wa Bush na maswala ya EPA hali kuna mambo mengine mazito zaidi yanazidisha chuki ya wananchi kwa serikali yao. Chanzo cha vurugu zozote zile ni ubadhilifu wa serikali iliyopo madarakani. Ubaguzi wa rangi ama kikabila hutokana na kutokuwepo kwa haki ama uongozi bora wa serikali inayo tawala laa sivyo viamsho hivi ubakia kama volcano iliyolala (dormant).
Ni rahisi sana kuwadanganya wageni kuhusu maendeleo yetu lakini sii rahisi kuwadanganya raia wenyewe ambao wanafahamu uchovu wa serikali ama viongozi wao. Tatizo la Kenya halikutokana na makabila, laa hasha limetokana na ushindi ama uongozi wa Mwai Kibaki. Nina hakika kabisa kuwa kama Mwai Kibaki angekubali kushindwa na kuachia ngazi haya matatizo ya Ukabila Kenya yasingetokea...
Hivyo basi ni muhimu kutazama chanzo cha kila tukio badala ya kutibu gonjwa, matatizo ya Kenya yataendelea ikiwa Mwai ataendelea kuwa rais wa nchi hiyo sawa na tatizo la aMaleria nchini haliwezi kwisha kwa viandarua millioni 5 ama 10 ila litakwisha ikiwa madimbwi ya maji machafu na yaliyosimama yatafukiwa kuhakikihsa MBU hawapati sehemu za kuzaliana.


Mwisho, nimeona ktk Youtube, kumbe Bush aliwahi kuja TZ kabla ya safari hii (sio kama mgeni rasmi).
Tazama Youtube:- President Bush remembers Tanzania
 
Kakindomaster,

Nani alikuwa anajua Tanzania ni stable? What matters here is the perception of the world and NOT our perception (Tanzanians perception). Ukizunguka
huku duniani, wanaojua Tanzania ni stable ni wachache mno. Ilikuwa ukisema Kenya, watu wanaitikia. Nina uhakika ukiwauliza watu wa Europe au North America, nani ali contribute kuleta uhuru wa SA na nchi zingine, Tanzania haitatajwa hata mara moja.

Tatizo la watu wengi, kila ikitajwa USA mnafikiria misaada. Hivi USA na nchi za West wanavyoanza kujikomba kwa CHINA, je wanataka misaada ya China? Hii dunia ya utandawazi, muhimu ni uhusiano wa kibiashara. Safari moja ya Bush ikitumiwa vizuri inaweza kuiletea Tanzania biashara kuliko lile tangazo kwenye CNN.

Mfano mzuri kwasasa kama chombo chochote cha dunia kinataka kufungua ofisi East Africa, huenda Dar Es Salaam ni candidate namba moja, huko nyuma ilikuwa Nairobi.

NInajua hilo kuwa Tanzania katika ulimwengu haijulikani kabisa hata huna haja ya kwenda ulaya-Amerika-China- Japan nk. Tanazania hata haijulikani kwa baadhi ya nchi za Kiafrica.

Sijui sasa hivi umeisha faya analysis ukajua kuwa Baada ya Bush kututembelea tumeisha julikana kama unavyotaka tuamini?

Kama sikosei, Bush miaka ya nyuma alikuwa Uganda, sijui kama walijuliakana!!!!!!!!?. Bill alifika Arusha sifikirii kama tumejulikana sana baada ya hawa watu kufika hapa.Mimi katika hili naamini kuweka mikakati ya kukuza uchumi ndiyo msingi imara wa kujikwamua katika dimbwi la umasikini.

Sikatai kuwa ni vizuri Mtu Mkubwa kama Bush kufika hapa, nijambo zuri hila tusilishikie Bango sana Mkuu.

Halafu Mkuu sina uhakika kama suala la Bush tu litafanya watu kufungua Ofisi kwa wingi. Kuna mambo mengi sana, mimi nafikiri hatujayajua inabidi tuyafanyie utafiti wa kutosha Mji wa Nairobi-miji kama J'burg inajulikana kuwa na uharamia wa kutosha. Lakini tukija katika suala la Utalii pamoja na kuwa watulivu wanatupiga bao. Mkuu watu kwenda hija ilichukua muda gani?

Mwisho tuangalie nchi zilizoweza kupiga hatua kama Korea, China nk, Je zilianza kuwaalika akina Bush katika nchi zao hili ziweze kujikwamua kutoka katika umasikini?
 
Back
Top Bottom