Tila-lila2
JF-Expert Member
- Oct 20, 2019
- 653
- 1,058
Kwangu mimi ni:
i. kuondoa Sheria zote zenye vifungu vya uonevu
ii. kuangalia maslahi ya wafanyakazi na wakulima, na kiasi wafanyabiashara ambao wananyanyasika kwa kubinywa kwenye biashara zao- angalia waendesha hoteli kubwa kubwa - Ofisi za Serikali siku hizi hazina mpango nao kuendeshea shughuli za kiofisi
i. kuondoa Sheria zote zenye vifungu vya uonevu
ii. kuangalia maslahi ya wafanyakazi na wakulima, na kiasi wafanyabiashara ambao wananyanyasika kwa kubinywa kwenye biashara zao- angalia waendesha hoteli kubwa kubwa - Ofisi za Serikali siku hizi hazina mpango nao kuendeshea shughuli za kiofisi