Hotuba ya Rais Magufuli Vs Freeman A. Mbowe

Hotuba ya Rais Magufuli Vs Freeman A. Mbowe

Ya magufuli ilikwenda live kwenye vituo vyote vya televisheni na redio,pia ilirudiwa tena saa moja usiku,pia utafiti wako haukugusa channel.ya ikulu mawasiliano.

Ya mbowe ilipatikana vichochoroni,ndio mana ukaona hao 1.3 wamejazana,ukute hao ni wote wa ughaibuni
Yaani katika watanzania milioni 55,unajivunia kutazamwa na watu milioni 1.3!
Mkuu;
Hao watu milioni 1.3 atawatoa wapi kwenye channel yenye subscriber 1,220?

Hii hapa chini ndio idadi ya watu walioangalia hotuba ya Mbowe.

Mpaka ninachukua screenshot, walioangalia ni watu 2,714

Mbowe.png
 
Sasa unashindwa kutumia japo maji kwenye hicho kichwa chako kufikiri, ya Rais ilikuwa live TBC , Star TV na kwingine sasa hiyo ya Mbowe ilikuwa live wapi.
Tuwe wa kweli,hotuba ya Chato,Ina maswali na mkanganyiko,Nina uhakika Mh Rais Jana atakuwa amepoteza wafuasi kwa kiasi fulani!
Ila ya Mbowe Kama Kuna wasililizaji walioingia YouTube kumsikiliza na haeakuwa wanamkubali Jana watakuwa wamekubali kuwa Jamaa Ni Level kubwa!
 
Mbowe, busara na Hekima nyingi Mungu kamjalia, hotuba zake nyingi huwa ni nzuri na huleta Tafakari na mjadara mpana kwenye Jamii hususa kwenye mitandao

Kwa hotuba ya Jana,ukweli bila kuficha,niliona malalamiko badala ya hotuba!!
 
Hotuba ya Mbowe kuangaliwa na watu Milioni na kitu tena sio live ila wametumia vifurushi vyao kuangalia maana yake ni kuwa watu wana mapenzi nae ingekuwa watu hawampendi au hawaipendi Chadema hata views laki 1 asingefika.

Sent using Jamii Forums mobile app
Tanzania ina idadi ya watu wangapi. Hao milioni unalinganisha na idadi ya watazamaji wa TV zilizokuwa live Nchi nzima? Achilia mbali marudio yake!!!
 
Nimezitazama na kusikiliza hotuba zote za viongozi hawa wawili kupitia YouTube.

Ya Mbowe nimeisikiliza na kuitazama kupitia MwanaHalisi Youtube Channel na takwimu zinaonesha kuwa imesikilizwa na kutazamwa na watu 1,300,000+ hadi kufikia leo tarehe 17/5/2020 saa 5:50 usiku.

Ya Rais Magufuli, nimeitazama na kuisikiliza kupitia East Africa Radio YouTube Channel na mpaka kufikia saa 5:50 usiku leo tarehe 17/5/2020 hotuba yake ilikuwa imesikilizwa na kutazamwa (views) na watu 230,000+

Yet, bado kuna watu wanasema CHADEMA chini ya Mbowe imekufa. Je, mtu akisema wasioitakia mema Chadema wanajilisha upepo nitakuwa ninakosea kweli?

Hii ni dhahiri shayiri kuwa, takwimu hizi zinatoa taswira ya matokeo ya Uchaguzi Mkuu mwaka huu 2020 iwapo uchaguzi utakuwa FREE and FAIR kama ilivyo kwa watazamaji wa YouTube channels hizi ambazo hakuna wizi wala uchakachuaji wa matokeo.

Reference: Kila mwenye computer ama simu yake aingie Youtube channels hizo ku-verify hiki nilichokiposti hapa.

Numbers dont lie!

Mbowe ni one of the best orators we have here!

Mbowe one of the best minds we have!

Denial on this greatness haitusaidii!
 
  • Thanks
Reactions: Pep
Tanzania ina idadi ya watu wangapi. Hao milioni unalinganisha na idadi ya watazamaji wa TV zilizokuwa live Nchi nzima? Achilia mbali marudio yake!!!

Ukipata takwimu za wanaoangalia TV achilia mbali taarifa za habari au vipindi vya siasa au hotuba za mawe,you will be shocked!

Online viewing is beating cable TVs left and right!
 
Ukipata takwimu za wanaoangalia TV achilia mbali taarifa za habari au vipindi vya siasa au hotuba za mawe,you will be shocked!

Online viewing is beating cable TVs left and right!
Kwa hiyo unaikana takwimu iliyowekwa humu ya viewers milioni 1. Anyway ila Mbowe ana roho ngumu viewers wenyewe walikuwa wanamkandia lakini ameng'ang'ana kuongea tu sijui alikuwa haoni😃
 
Ikiwa live ndo kila mtu anakuwa ameiona? Halafu hata kama watu watakuwa wameiona na imewavutia si ndo habari zingesambaa zaidi na kuwavuta wale ambao hawakuona live waende sasa kuangalia kwenye mitandao?
Sasa unashindwa kutumia japo maji kwenye hicho kichwa chako kufikiri, ya Rais ilikuwa live TBC , Star TV na kwingine sasa hiyo ya Mbowe ilikuwa live wapi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimezitazama na kusikiliza hotuba zote za viongozi hawa wawili kupitia YouTube.

Ya Mbowe nimeisikiliza na kuitazama kupitia MwanaHalisi Youtube Channel na takwimu zinaonesha kuwa imesikilizwa na kutazamwa na watu 1,300,000+ hadi kufikia leo tarehe 17/5/2020 saa 5:50 usiku.

Ya Rais Magufuli, nimeitazama na kuisikiliza kupitia East Africa Radio YouTube Channel na mpaka kufikia saa 5:50 usiku leo tarehe 17/5/2020 hotuba yake ilikuwa imesikilizwa na kutazamwa (views) na watu 230,000+

Yet, bado kuna watu wanasema CHADEMA chini ya Mbowe imekufa. Je, mtu akisema wasioitakia mema Chadema wanajilisha upepo nitakuwa ninakosea kweli?

Hii ni dhahiri shayiri kuwa, takwimu hizi zinatoa taswira ya matokeo ya Uchaguzi Mkuu mwaka huu 2020 iwapo uchaguzi utakuwa FREE and FAIR kama ilivyo kwa watazamaji wa YouTube channels hizi ambazo hakuna wizi wala uchakachuaji wa matokeo.

Reference: Kila mwenye computer ama simu yake aingie Youtube channels hizo ku-verify hiki nilichokiposti hapa.

Angekuwa uchi angeangaliwa na watu 10m

Live chat mbowe katukanwa sana

Comments zinasemaje??
 
Kwa hiyo unaikana takwimu iliyowekwa humu ya viewers milioni 1. Anyway ila Mbowe ana roho ngumu viewers wenyewe walikuwa wanamkandia lakini ameng'ang'ana kuongea tu sijui alikuwa haoni😃

Alitukanwa sana jana aisee

Ashachokwa
 
Sio kweli.

Vigezo vya takwimu hizi vinafanana.

Hotuba zote zinekuwa posted almost 6 past hours baada ya kuwa zimerushwa live hewani.

Kwa hiyo kilichotumika sio hotuba kuwa live.
Mimi niliangalia speech ya raisi kupitia ITV, vipi takwimu zangu zinakaa wapi kwenye hiyo tafiti yako? Then nikaja kuangalia speech ya Mbowe online...vichwa vingine bwana!!
 
Kitaturu,

Wewe ni lijinga fulani, hivi hiyo analysis isiyokuwa na evidence nani atakuaamini ewe kiumbe uliyelaanika?? Kwanza hizo view watu huwa wanaweza kufake, wanatengeneza ghost viewers na ndiyo maana ewe mpumbavu ukisaini hata kwenye google wanataka wajue kama wewe ni binadaamu. Hivyo usilete siasa za kijinga kijinga, huyo mnayempa kichwa pumbu zake sasa hivi zinauma sana maana hana pakutokea lijinga kabisa.
Watu wa CCM kila kitu kikienda kinyume na matarajio yao lazima kuwe na mkono usiowatakia mema.

Unajua kwanini, wamezoea figisu, wanadhani kila jambo linalofanikiwa basi figisu imefanyika

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimezitazama na kusikiliza hotuba zote za viongozi hawa wawili kupitia YouTube.

Ya Mbowe nimeisikiliza na kuitazama kupitia MwanaHalisi Youtube Channel na takwimu zinaonesha kuwa imesikilizwa na kutazamwa na watu 1,300,000+ hadi kufikia leo tarehe 17/5/2020 saa 5:50 usiku.

Ya Rais Magufuli, nimeitazama na kuisikiliza kupitia East Africa Radio YouTube Channel na mpaka kufikia saa 5:50 usiku leo tarehe 17/5/2020 hotuba yake ilikuwa imesikilizwa na kutazamwa (views) na watu 230,000+

Yet, bado kuna watu wanasema CHADEMA chini ya Mbowe imekufa. Je, mtu akisema wasioitakia mema Chadema wanajilisha upepo nitakuwa ninakosea kweli?

Hii ni dhahiri shayiri kuwa, takwimu hizi zinatoa taswira ya matokeo ya Uchaguzi Mkuu mwaka huu 2020 iwapo uchaguzi utakuwa FREE and FAIR kama ilivyo kwa watazamaji wa YouTube channels hizi ambazo hakuna wizi wala uchakachuaji wa matokeo.

Reference: Kila mwenye computer ama simu yake aingie Youtube channels hizo ku-verify hiki nilichokiposti hapa.


Ushapitia comments

Mwenzio anaogeshwa matusi na kudhalilishwa unaileta sebuleni???

99.9 ya hao walimtusi mkuu
 
Back
Top Bottom