zomba
JF-Expert Member
- Nov 27, 2007
- 17,240
- 3,935
Uamsho mnataka madaktari wa Iran waje ili baadae nao watake kulipwa fadhila ili ianzishe mahakama ya 'hedhi' na sharia za kishetani ndani ya Tanzania kwaajili ya kusuluhisha ndoa, talaka na kukatana viungo. Kwa hilo mmefeli jaribuni strategy nyingine.
Saa hizi ndiyo mtabaki kutukana tu, tunawajua kuwa hamna hoja. Wenzako wamesharukia hoja ya Pinda, kisha tangaza mwisho cc 3000 wao wanajifanya hoja yao, eti mashangingi! kawaunge mkono huko, hii ya mgomo tumeshamaliza hoja zote.
Jakaya Mrisho Kikwete kishafunga kazi kwa hilo la madaktari. Asiyetaka kufanya kazi aende kwa muajiri ataemlipa zaidi na tunamtakia kila la heri. Siku hizi Hospitali za binafsi ni nyingi sana na wanalipa vizuri. Na kama hapa unaona hapakufai unaenda duniani, mbona madokta wengi sana wapo nje ya Tanzania.
Saa hizi ni povu tu linawatoka hamna zaidi. Kwi kwi kwi teh teh teh!